Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jambazi tishio kwa wanawake Arusha auawa

Jeshi la Polisi mkoani Arusha limefanikiwa kumuua jambazi aliyekuwa akiutikisa mkoa huo kwa matukio ya kuteka na kuwapora wanawake wenye magari na kisha kuwapiga risasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JAMBAZI SUGU LILILOKUA LIKUWA WANAWAKE LAUAWA ARUSHA

picha ya juu na chini wananchi wa jiji la Arusha waliojitokeza kuuangalia mwili wa jambazi huyo atari aliowawa na polisi usiku wa kuamkia leomwili wa Jambazi hilo ukiwa umelazwa ndani ya gari la polisi mara baada ya kuwawa tayari kwa ajili ya kupelekwa mochwariwananchi wakiendelea kushuhudia mwili wa jambazi hilo nje ya jengo la makao makuu ya polisi mkoani Arushabaadhi ya vitu vilivyokutwa kwa jambazi hilo zikiwemo silaha mbalimbalikamanda wa polisi akionyesha moja ya kifaa cha kufanyia...

 

10 years ago

Michuzi

JAMBAZI SUGU LILILOKUA LIKIUWA WANAWAKE ARUSHA LAUWAWA NA POLISI WANANCHI WASHANGILIA

picha ya juu na chini  wananchi wa jiji la Arusha  waliojitokeza kuuangalia mwili wa  jambazi huyo atari aliowawa na polisi usiku wa kuamkia leo. wananchi wakiendelea kushuhudia mwili wa jambazi hilo nje ya jengo la makao makuu ya polisi mkoani Arusha.

 baadhi ya vitu vilivyokutwa kwa jambazi hilo zikiwemo silaha mbalimbali kamanda wa polisi akionyesha moja ya kifaa cha kufanyia tageti kabla ya kupiga kijulikanacho kwa jina la Glock Fab Defence moja ambacho jambazi hilo lilikuwa likitumia
...

 

10 years ago

Habarileo

Jambazi raia wa Kenya auawa Tarime

WATU wawili akiwemo mkazi wa kitongoji cha Nchoke katika Kijiji cha Kubiterere, Kata ya Mwema wilayani hapa, Mwikwabe Kirutu (30) wameuawa katika mapambano baina ya wananchi na majambazi waliokuwa na bunduki mbili za kivita kijijini hapo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jambazi auawa katika majibishano ya risasi

MTU mmoja anayedaiwa kuwa jambazi sugu maarufu kama Ramadhani Jumanne ‘Rama Ndonga’ (37) ameuawa katika majibizano ya risasi kati yake na polisi yaliyotokea usiku wa kuamkia jana katika kijiji cha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kunenepa ni tishio la kiafya kwa wanawake UK

Kunenepa ni tishio kubwa kwa afya ya wanawake pamoja na ile ya vizazi vijavyo, ameonya Afisa mkuu wa matibabu nchini Uingereza Dame Sally Davies.

 

10 years ago

GPL

JAMBAZI SUGU LAUAWA ARUSHA

mwili wa Jambazi hilo ukiwa umelazwa ndani ya gari la polisi mara baada ya kuuawa tayari kwa ajili ya kupelekwa mochwari.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake Arusha wazidi kuishi kwa hofu

WANAWAKE jijini Arusha, wamesema usalama wao uko matatani kutokana na kuongezeka kwa matukio yanayowalenga ya kushambuliwa kwa risasi na watu wanaokuwa kwenye bodaboda, ambako wengine wakijeruhiwa vibaya huku wawili wakifariki...

 

10 years ago

GPL

POLISI WAKANUSHA TISHIO LA MAGAIDI KUSHAMBULIA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Liberatus Sabas. Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha wakiendelea na masomo. KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas,  amekanusha uvumi ulioenea katika mitandao ya jamii kuhusu kukamatwa magaidi  mkoani  Arusha usiku wa kuamkia leo waliokuwa wamejitayarisha kukishambulia Chuo cha Uhasibu (Institute of Accountancy Arusha - IAA) wakidaiwa kuwa na gari aina ya Toyota Premio nyeusi...

 

10 years ago

Habarileo

Aliyetuhumiwa kuua wanawake auawa

MTUHUMIWA wa mauaji ya wanawake na watoto mkoani hapa, Ramadhan Jumanne (37) ameuawa katika tukio la majibizano ya risasi na askari polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani