WANAJESHI 66 WAUAWA SUDAN KUSINI
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili. Watafanyiwa mazishi ya pamoja.Wakati huohuo afisaa mmoja wa serikali amesema kuwa watu 26 wameuawa katika mapigano ya siku mbili mjini Juba.Zaidi ya watu miamoja wamejeruhiwa huku maafisa wakuu wakijaribu kudhibiti mji huo kufuatia kile ambacho...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wanajeshi 66 wameuawa Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
Wanajeshi watoto waachiliwa Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Watoto wasajiliwa wanajeshi Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Watu kadhaa wauawa nchini Sudan kusini
10 years ago
BBCSwahili18 May
UNICEF:Watoto zaidi wauawa Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wanajeshi wauawa Afghanistan
10 years ago
BBCSwahili25 May
Wanajeshi 7 wauawa Tunisia
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Wanajeshi wauawa Marekani