Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAJESHI 66 WAUAWA SUDAN KUSINI

Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili. Watafanyiwa mazishi ya pamoja.Wakati huohuo afisaa mmoja wa serikali amesema kuwa watu 26 wameuawa katika mapigano ya siku mbili mjini Juba.Zaidi ya watu miamoja wamejeruhiwa huku maafisa wakuu wakijaribu kudhibiti mji huo kufuatia kile ambacho...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 66 wameuawa Sudan Kusini

Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi watoto waachiliwa Sudan Kusini

Waasi nchini Sudan Kusini wamewaachilia huru wanajeshi watoto wapatao 250 .

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini

Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wasajiliwa wanajeshi Sudan Kusini

Ripoti zinasema kuwa takriban watoto elfu kumi na moja wamesajiliwa jeshini nchini Sudan Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu kadhaa wauawa nchini Sudan kusini

Watu kadhaa wameuawa wakati wa jaribio la wizi wa Ng'ombe katika jimbo la Warrap nchini Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

UNICEF:Watoto zaidi wauawa Sudan Kusini

UNICEF linasema kuwa wavulana na wasichana wenye umri wa hadi miaka 7 wameuawa ,kutekwa na kubakwa katika ghasia za hivi majuzi nchini Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Afghanistan

Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 7 wauawa Tunisia

Mwanajeshi mmoja nchini Tunisia amempigwa risasi na kuuawa baada ya kuwaua wenzake 7 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Marekani

Mtu mwenye silaha amewaua askari 4 wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo ya jeshi hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani