Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto watekwa Gaza

Wapiganaji wa kundi la Hamas wamezuia kundi la watoto huko Gaza wengi wao wakiwa hawana wazazi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mamia ya watoto watekwa Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa umesema watoto waliotekwa hivi karibuni Sudan Kusini walichukuliwa na kundi lililo upande wa serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wengi watekwa Sudan Kusini

Vijana wadogo wadogo wanyakuliwa kambini Sudan Kusini na watu waliokuwa na silaha

 

10 years ago

Habarileo

Mashekhe watekwa Uganda

IGP wa Uganda, Jenerali Edward Kalekezi KayihuraHOFU imetanda miongoni mwa mashekhe jijini hapa, baada ya wenzao wanne kudaiwa kutekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa mafichoni.

 

11 years ago

GPL

MUME, MKE WATEKWA!

KIJANA aliyetambulika kwa jina la Dickson Mathias (35), na msichana aliyejulikana kwa jina la Mariam Kimaya wanadaiwa kutekwa kwa nyakati tofauti baada ya kufunga ndoa ya siri katika Kanisa la KKT, Tegeta jijini Dar, Mei Mosi, 2012, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Mariam Kimaya anayedaiwa kutekwa. Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi makubwa, dada wa Dickson, Aneth Mbaga alisema tukio hilo lilitokea baada ya Dickson...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wavulana 40 watekwa na Boko Haram

Takriban wavulana 40 na vijana wadogo wameripotiwa kutekwa nyara na wapiganaji wa kundi la Boko haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji watekwa nyara, Syria

Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake 20 wanaume 3 watekwa Nigeria

Wanawake 20 na wanaume watatu wametekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria na watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Boko Haram.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahudumu 14 wa misaada watekwa DRC

Wafanyi kazi 14 wa mashirika ya kutoa misaada wametekwa nyara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wawili wa Urusi watekwa Darfur

Raia wawili wa Urusi wanaofanya kazi katika shirika la Utair wametekwa nyara mjini Darfur nchini Sudani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani