Watoto watekwa Gaza
Wapiganaji wa kundi la Hamas wamezuia kundi la watoto huko Gaza wengi wao wakiwa hawana wazazi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Mamia ya watoto watekwa Sudan Kusini
Umoja wa Mataifa umesema watoto waliotekwa hivi karibuni Sudan Kusini walichukuliwa na kundi lililo upande wa serikali.
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Watoto wengi watekwa Sudan Kusini
Vijana wadogo wadogo wanyakuliwa kambini Sudan Kusini na watu waliokuwa na silaha
10 years ago
Habarileo09 Jan
Mashekhe watekwa Uganda
HOFU imetanda miongoni mwa mashekhe jijini hapa, baada ya wenzao wanne kudaiwa kutekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa mafichoni.
11 years ago
GPLMUME, MKE WATEKWA!
KIJANA aliyetambulika kwa jina la Dickson Mathias (35), na msichana aliyejulikana kwa jina la Mariam Kimaya wanadaiwa kutekwa kwa nyakati tofauti baada ya kufunga ndoa ya siri katika Kanisa la KKT, Tegeta jijini Dar, Mei Mosi, 2012, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Mariam Kimaya anayedaiwa kutekwa. Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi makubwa, dada wa Dickson, Aneth Mbaga alisema tukio hilo lilitokea baada ya Dickson...
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Wavulana 40 watekwa na Boko Haram
Takriban wavulana 40 na vijana wadogo wameripotiwa kutekwa nyara na wapiganaji wa kundi la Boko haram
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Wapiganaji watekwa nyara, Syria
Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Wanawake 20 wanaume 3 watekwa Nigeria
Wanawake 20 na wanaume watatu wametekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria na watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Boko Haram.
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Wahudumu 14 wa misaada watekwa DRC
Wafanyi kazi 14 wa mashirika ya kutoa misaada wametekwa nyara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Raia wawili wa Urusi watekwa Darfur
Raia wawili wa Urusi wanaofanya kazi katika shirika la Utair wametekwa nyara mjini Darfur nchini Sudani
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania