Mashekhe watekwa Uganda
HOFU imetanda miongoni mwa mashekhe jijini hapa, baada ya wenzao wanne kudaiwa kutekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa mafichoni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Jul
Mashekhe wapigwa bomu wakila daku
WAKATI Waislamu wakiwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, watu wasiojulikana juzi walivamia nyumba ya Mkurugenzi wa Kanda ya Kaskazini wa Taasisi ya Kiislamu ya Answar Muslim Youth Centre, Shekhe Soud Ally Soud na kurusha kitu kinachodhaniwa kuwa bomu na kumjeruhi shekhe huyo na mgeni wake kutoka Kenya.
10 years ago
MichuziLOWASSA: MASHEKHE WA BAGAMOYO MMENISHAWISHI KUGOMBEA URAIS 2015
Mashekhe hao kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bagamoyo, wamesema katika salamu zao kuwa wameona mtu pekee anayefaa kushika...
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
Mashekhe wa Bagamoyo wamtembelea Lowassa, wamshawishi kugombea urais 2015
MASHEIKH wapatao 50 kutoka Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, leo wamemkabidhi kiasi cha shilingi 700,000/- za kuongezea kuchukua fomu ya kuwania urais 2015. Mashekhe hao wakiongozwa na Yusuf Surulu (kulia) na Alli Mtumwa (wapili kulia) wamemkabidhi fedha hizo nyumbani kwake mjini Dodoma na kushuhudiwa na Mbunge wa Urambo Magharibi, Prof Juma Kapuya.MSIKILIZE HAPA.
Mashekhe hao kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bagamoyo, wamesema katika salamu zao kuwa wameona mtu pekee anayefaa...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Oct
Mh. Edward Lowasa hana msimamo thabit juu ya mashekhe wa Zanzibar walowekwa mahabusu.
Hapo jana, 03 october 2015. Ukawa walikuwa na mkutano mkubwa wa hadhara ulofanyika kisiwani Pemba. Katika Mkutano huo waliongea viongozi takriban 9 wa Ukawa. Ni saa nane kamili wakati Mh. Edward Lowasa alipopanda katika jukwaa na […]
The post Mh. Edward Lowasa hana msimamo thabit juu ya mashekhe wa Zanzibar walowekwa mahabusu. appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPL
MUME, MKE WATEKWA!
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Watoto watekwa Gaza
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Wapiganaji watekwa nyara, Syria
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Wanawake 20 wanaume 3 watekwa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Wavulana 40 watekwa na Boko Haram