LOWASSA: MASHEKHE WA BAGAMOYO MMENISHAWISHI KUGOMBEA URAIS 2015
MASHEIKH wapatao 50 kutoka Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, leo wamemkabidhi kiasi cha shilingi 700,000/- za kuongezea kuchukua fomu ya kuwania urais 2015. Mashekhe hao wakiongozwa na Yusuf Surulu (kulia) na Alli Mtumwa (wapili kulia) wamemkabidhi fedha hizo nyumbani kwake mjini Dodoma na kushuhudiwa na Mbunge wa Urambo Magharibi, Prof Juma Kapuya.MSIKILIZE HAPA.
Mashekhe hao kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bagamoyo, wamesema katika salamu zao kuwa wameona mtu pekee anayefaa kushika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
Mashekhe wa Bagamoyo wamtembelea Lowassa, wamshawishi kugombea urais 2015
MASHEIKH wapatao 50 kutoka Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, leo wamemkabidhi kiasi cha shilingi 700,000/- za kuongezea kuchukua fomu ya kuwania urais 2015. Mashekhe hao wakiongozwa na Yusuf Surulu (kulia) na Alli Mtumwa (wapili kulia) wamemkabidhi fedha hizo nyumbani kwake mjini Dodoma na kushuhudiwa na Mbunge wa Urambo Magharibi, Prof Juma Kapuya.MSIKILIZE HAPA.
Mashekhe hao kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bagamoyo, wamesema katika salamu zao kuwa wameona mtu pekee anayefaa...
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Watu zaidi ya 700 waandamana kwenda kwa Lowassa kumshawishi atangaze nia ya kugombea Urais 2015
Makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwa wanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la Monduli hii leo.
![SAM_4318](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/SAM_4318.jpg)
Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la Monduli.
![SAM_4337](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/SAM_4337.jpg)
Viongozi mbalimbali wa makundi ya kijamii wakiwa wanamkabidhi Waziri Mstaafu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa bahasha...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Lowassa azidi kuhamasika juu ya kutangaza nia ya kugombea urais
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_If037eCTxQ/VboLgrAIBlI/AAAAAAABS6E/ZLfwS2enuTE/s72-c/Lowassa1.jpg)
LOWASSA AWASILI MAKAO MAKUU YA CHADEMA NA KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-_If037eCTxQ/VboLgrAIBlI/AAAAAAABS6E/ZLfwS2enuTE/s640/Lowassa1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CHPfG6CPSTg/VboLlLW-jUI/AAAAAAABS6U/BcfiXG-4DZ0/s640/lowassa2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dk6P2ddB1rc/VboLhC2zKhI/AAAAAAABS6I/Ccp1ZW6O6F0/s640/11059601_385091355016802_8885760366441846382_n.jpg)
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Mchungaji atangaza kugombea urais 2015
Na Rodrick Mushi, Moshi
MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Stephano Moshi (SMUCCO), Mchungaji Godfrey Malisa, ametangaza nia ya kugombea urais Oktoba mwaka huu kwa tikeki ya mgombea binafsi.
Mchungaji Malisa, alitangaza azma hiyo huku Serikali ikiwa bado
haijaweka bayana kuwepo kwa mgombea binafsi kwa sababu Katiba Inayopendekezwa haijapitishwa.
Mwaka 2010, Malisa aligombea ubunge Jimbo la Moshi kwa tiketi ya
Chama cha Tanzania Labour (TLP).
Akizungumza na waandishi wa habari mjini...
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Ridhiwani ataja 11 wanaotosha kugombea urais 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-u2SNRmXakuI/VW7RgzmyBII/AAAAAAAAeck/IYznAmnXQfw/s72-c/1.jpg)
MH.WASSIRA ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-u2SNRmXakuI/VW7RgzmyBII/AAAAAAAAeck/IYznAmnXQfw/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2aW72f9Gpno/VW7RhaUs_0I/AAAAAAAAecg/sO5j4tVu0p0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-efnyqPI-2SU/VW7RhpUA-SI/AAAAAAAAecs/czu-Qtigrxg/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EUKT9YN5Tlo/VW7RkPAehKI/AAAAAAAAec4/j1fLHIYpdCo/s640/4.jpg)
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Stephen...
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
January Makamba atangaza kugombea Urais 2015.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba.
*Nape asema hakufanya makosa
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.
Makamba, mmoja wa makada wa CCM walioonywa na chama hicho baada ya kutuhumiwa kuanza kampeni mapema, alijipigia debe kuwa iwapo atapitishwa...
10 years ago
GPLSUMAYE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015