Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA YA MWAKA YA WADAU WA KUCHEKESHA NA KUHABARISHA

Si mara nyingi wadau hawa hukutana namna hii. Ila wakati wa mnuso wa kumuaga bosi wa taasisi ya Twaweza Rakesh Rajani jana jioni pale viwanja vya Karimjee ilikuwa tofauti. hapo mpiga picha aliambiwa apige full yaani viatu vionekane. Wao kwa pamoja tena bila kuambiwa na mtu wakainua miguu kumuonesha hivyo viatu. Kutoka kushoto ni Othman Michuzi, Masoud Kipanya, Nathan Mpangala "Kijasti", Evans Bukuku "Mnyambala", David Kyungu, Robert Mwampembwa "Bi Mkora", David Chikoko (Cartoonist wa the...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 …

Mtu wangu wa nguvu najua tunaelekea kuuaga mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016. Kaabla ya kumalizika mwaka 2015 naomba nikusogezee video ya matukio ya kuchekesha katika soka yaliyotokea kwa mwaka 2015. Katika hii video kuna matukio ya Pep Guardiola na Frank Ribery. Jamaa kumbiss Zlatan Ibrahimovic. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]

The post Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 … appeared first on...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tuzo za wanyama pori wenye kuchekesha kwa mwaka 2019

Picha zilizotunukiwa tuzo mwaka huu baada ya mashindano

 

9 years ago

Michuzi

TASWIRA YA WADAU WAKIELEKEA "KUHESABIWA" makwao

Hapa ni Kwa Msisi mkoani Tanga ambapo mdau katutumia taswira hii ya wadau wakielekea "KUHESABIWA" vijijini kwao sehemu mbalimbali Kaskazini mwa Tanzania, ikiwa ni utamaduni wa miaka nenda miaka rudi ya kusherehekea Krismas na Mwaka Mpya. Globu ya Jamii inawapongeza wadau hawa wote kwa kukumbuka kurudi nyumbani katika msimu huu...

 

9 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI KATIKA USIKU WA TUZO YA MWAJIRI BORA WA MWAKA 2015


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi kikombe, Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na utawala wa benki ya CRDB, Bi Ngalija wakati wa kutoa zawadi katika hafla hiyo. Kutokea (kulia) ni Balozi wa Norway hapa nchini, Hanne-Marie Kaarstad, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt Florens Turuka, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki na Makamu Mwenyekiti wa ATE, Zuhura Muro. Mwakilishi wa Kampuni ya Maswala ya Kisheria ya Yakubu & Associates Chamber, Dkt. Timoth Kyepa akipokea...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA VIMONDO VYA CHAMLASHAMLA YA MWAKA MPYA KUTOKA NCHI MBALIMBALI DUNIA


Arriving in style: Sydney locals, Demi Bryant, 22, and James Hundt, 28, celebrate the beginning of the New Year atop a high-rise overlooking the iconic Sydney New Year's Eve fireworks sitting on a Ford MustangSpectacular: The London Eye explodes with light as a massive display of 15 tons of fireworks helps usher in the New Year in central LondonA breathtaking display of fireworks lit up London's night sky tonight as hundreds of thousands descended on the Capital for the arrival of 2015The...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simon Mzungu na kiu ya kuchekesha na watoto

BAADA ya kutamba katika fani ya uigizaji kwa muda mrefu hatimaye mwigizaji, mwimbaji na mshereheshaji maarufu nchini, Simon Mbwana Mwakatobe ‘MC Simon Mzungu’ ametangaza kuwa katika maandalizi ya kutoka na...

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI ZA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA (AFDB) UNAOFANYIKA KIGALIi, RWANDA

 Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum akiwa katika majadiliano na viongozi wa Benki ya HSBC kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere ‘Terminal III’. Majadiliano hayo yalifanyika katika Hotel ya Mills Colonie Mjini Kigali Rwanda.  Mh.Saada Mkuya Salum,Waziri wa Fedha akiagana na Mkurugenzi wa Benki ya HSBC baada ya majadiliano yaliyofanyika katika Hotel ya Mills Colonie Kigali Rwanda.  Waziri wa Fedha Mh.Saada M.Salum akimsikiliza kwa makini Bi.Erika Rubin mratibu wa mfuko wa...

 

9 years ago

Michuzi

KUPATANA WAUAGA MWAKA KWA KUKUTANA PAMOJA NA WADAU WAO

 Wafanyakazi wa Kupatana.com na wateja wao walikula na kunywa. Kupatana.com ni website ya matangazo madogo madogo ya bidhaa mbalimbali kutoka kwa wauzaji hapa Tanzania. Website hii ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 2013 ambapo wakati wa kuanzishwa kwake ilikuwa ikitembelewa na watu takriban elfu tatu kila siku.Burudani ya mziki vilikuwepo vya kukata na shoka.Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Dewji Blog

Kupatana.com wauaga mwaka kwa kukutana pamoja na wadau wao

Makusaro Tesha akizungmza na wadau mbalimbali wa kupatana wa KUPATANA waliojumuika na watumishi katika tafrija ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya. Tafrija hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Kupatana.com ni website ya matangazo madogo madogo ya bidhaa mbalimbali kutoka kwa wauzaji hapa Tanzania. Website hii ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 2013 ambapo wakati wa kuanzishwa kwake ilikuwa ikitembelewa na watu takriban elfu tatu kila siku.

Makusaro Tesha akizungmza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani