Wabunge 150 wasimama kuhesabiwa kwa Lowassa
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WABUNGE 150 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamemwomba Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, muda ukifika achukue fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kauli hiyo waliitoa juzi mjini hapa katika hafla ya chakula cha jioni iliyofanyika Kilimani nyumbani kwa kigogo mmoja wa CCM ambaye aliwaalika wabunge wa chama hicho akiwemo Lowassa.
Wakizungumza katika ghafla hiyo wabunge...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Wabunge wa CCM wasimama kidete kumtetea Waziri Mkuu
9 years ago
Habarileo17 Oct
Kura Kahama kuhesabiwa kwa DC
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Kahama, Underson Msumba amesema atalamizika kuhamishia shughuli za kuhesabu kura za urais, ubunge na udiwani kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kutokana na ofisi yake kuwa jirani na ofisi za vyama mbalimbali vya siasa.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NnqFSpGuHMY/VY69maCz_HI/AAAAAAAHkfU/2xQke3F9Azo/s72-c/MMGL0288.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI DAR, AKOMBA UDHAMINI WA WANACCM 212, 150
![](http://3.bp.blogspot.com/-NnqFSpGuHMY/VY69maCz_HI/AAAAAAAHkfU/2xQke3F9Azo/s640/MMGL0288.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iY7vB1Zowsw/VY69pCNZwTI/AAAAAAAHkfg/Kg7nre7entE/s640/MMGL0326.jpg)
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
MOJA KWA MOJA:KUHESABIWA KWA KURA TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Hazina SACCOS yakadhi hati za viwanja ambavyo ni rasmi zaidi kwa 150 kwa wanachama
![02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/024.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Wabunge wa Chadema wamkaribisha Lowassa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s72-c/Sisti-10June2015.jpg)
150 KORTINI KWA KUJIANDIKISHA MARA MBILI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA KWA MFUMO MPYA BVR
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s400/Sisti-10June2015.jpg)
Aidha, imeeleza kuwa kata 130 zimeongezeka kutokana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kufanya mabadiliko ya kiutawala katika kata, vijiji,vitongoji na Mitaa hivyo kulazimu NEC kuhairisha kwa wiki moja uandikishaji wa daftari uliokuwa ukianza jana kwa baadhi...
10 years ago
Vijimambo09 Feb
Wabunge wambeba Lowassa mbio urais
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-09Feb2015.jpg)
Hali hiyo inajitokeza wakati wa Mkutano wa Bunge wa 18 ukihitimishwa mwishoni mwa wiki na kubakia miwili tu Bunge la 10 kufikia tamati, hivyo...
10 years ago
Mwananchi15 May
Wabunge wahoji tena Lowassa kutosafishwa