Wakimbizi 162 wa Burundi wapewa uraia
RAIS Jakaya Kikwete ametoa hati za uraia wa Tanzania kwa wakimbizi 162 kutoka nchi jirani ya Burundi na ambao wameishi nchini kwa miaka 42, tangu mwaka 1972. Alitoa hati hizo juzi mjini Tabora, ikiwa nisehemu ya ziara yake ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4s57zVmRoxc/VD2DSJkiRZI/AAAAAAAGqho/0YMF8bStzzI/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA URAIA WAKIMBIZI WA BURUNDI 162,156 MJINI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-4s57zVmRoxc/VD2DSJkiRZI/AAAAAAAGqho/0YMF8bStzzI/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
JK awapa uraia wakimbizi 162
RAIS Jakaya Kikwete, ametoa hati za uraia wa Tanzania kwa wakimbizi 162 kutoka Burundi ambao wameishi nchini kwa miaka 42, tokea mwaka 1972. Taarifa iliyosambazwa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano...
9 years ago
Habarileo17 Sep
Magufuli kuwapa uraia wakimbizi Burundi
MGOMBEA urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amesema anatambua jitihada zilizofanywa na Rais Jakaya Kikwete za kutoa uraia kwa waathirika wa vita vya Burundi waliokimbilia Tanzania, hivyo akichaguliwa kuwa rais ataendeleza jitihada hizo.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yL9s32kcWlU/VD6PHuLWGvI/AAAAAAADJwg/Nm4Rs6j63Wk/s72-c/D92A2228.jpg)
Rais Kikwete atoa Uraia kwa Wakimbizi wa Burundi- Aongoza Vikao vya CCM Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-yL9s32kcWlU/VD6PHuLWGvI/AAAAAAADJwg/Nm4Rs6j63Wk/s1600/D92A2228.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0n5tsxsZ5RM/VD6PHaGpzeI/AAAAAAADJwc/pbbo8pD8TfU/s1600/D92A2281.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hvsF8k6P67A/VD6PHfLcRxI/AAAAAAADJwY/_6_H5iF71u0/s1600/D92A2398.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka
Wakimbizi kutoka nchini Burundi walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).
Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...
9 years ago
MichuziWAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Tanzania yawapa uraia wakimbizi
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Warundi wapewa uraia wa Tanzania