Warundi wapewa uraia wa Tanzania
 Serikali imetoa vyeti vya uraia kwa zaidi ya Warundi 160,000 waliokubali kuwa Watanzania baada ya kuishi nchini kwa muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Oct
Wakimbizi 162 wa Burundi wapewa uraia
RAIS Jakaya Kikwete ametoa hati za uraia wa Tanzania kwa wakimbizi 162 kutoka nchi jirani ya Burundi na ambao wameishi nchini kwa miaka 42, tangu mwaka 1972. Alitoa hati hizo juzi mjini Tabora, ikiwa nisehemu ya ziara yake ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo.
10 years ago
GPLWARUNDI 152,572 WAHALALISHWA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Warundi 152,572 wawa raia wa Tanzania
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Tanzania yawapa uraia wakimbizi
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Wakimbizi wa Kisomali wapata uraia Tanzania
SERIKALI imewapa uraia wa Tanzania wakimbizi wa Kisomali wenye asili ya Kibantu 1,514 waliokuwa wanaishi Chogo, Wilaya ya Handeni, Tanga. Wakimbizi hao walikimbia nchi yao baada ya vita kutokea mwaka...
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Utata wa uraia wa Miss Tanzania mpya
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Kaseba: Nilikataa kuukana uraia wa Tanzania
9 years ago
Bongo506 Oct
Mzungu Kichaa aelezea mpango wa kuchukua uraia wa Tanzania
11 years ago
Michuzi21 Feb