Kaseba: Nilikataa kuukana uraia wa Tanzania
Japhet Joseph Kaseba maarufu zaidi kwa jina la Champion sasa amejikita rasmi kwenye ngumi baada ya kukosa upinzani kwenye mchezo wa ngumi na mateke (kick boxing) mchezo uliowahi kumuweka njia panda na kujikuta akitakiwa kuukana uraia wa Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Bulaya: Nilikataa ahadi ya uwaziri
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Pedro:Nilikataa ombi la timu za Manchester
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Tanzania yawapa uraia wakimbizi
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Warundi wapewa uraia wa Tanzania
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Utata wa uraia wa Miss Tanzania mpya
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Wakimbizi wa Kisomali wapata uraia Tanzania
SERIKALI imewapa uraia wa Tanzania wakimbizi wa Kisomali wenye asili ya Kibantu 1,514 waliokuwa wanaishi Chogo, Wilaya ya Handeni, Tanga. Wakimbizi hao walikimbia nchi yao baada ya vita kutokea mwaka...
9 years ago
Bongo506 Oct
Mzungu Kichaa aelezea mpango wa kuchukua uraia wa Tanzania
11 years ago
Michuzi21 Feb
10 years ago
Vijimambo27 Oct
Uraia katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka katika Rasimu ya katiba inayopendekezwa
65.-(1) Mtu ambaye, kabla ya Katiba hii kuanza kutumika, ni raia wa
Jamhuri ya Muungano ataendelea kuwa raia wa Jamhuri ya Muungano.
(2) Uraia wa Jamhuri ya Muungano ni wa aina mbili na utapatikana kwa
njia ya kuzaliwa au kuandikishwa.
Haki ya uraia 66. Kila raia ana haki ya kutambuliwa uraia wake na kwa
madhumuni haya, mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria
utakaowezesha raia kupata hati ya kuzaliwa, kitambulisho cha uraia wake bila ya
upendeleo na ubaguzi wa aina...