Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaseba: Nilikataa kuukana uraia wa Tanzania

Japhet Joseph Kaseba maarufu zaidi kwa jina la Champion sasa amejikita rasmi kwenye ngumi baada ya kukosa upinzani kwenye mchezo wa ngumi na mateke (kick boxing) mchezo uliowahi kumuweka njia panda na kujikuta akitakiwa kuukana uraia wa Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bulaya: Nilikataa ahadi ya uwaziri

>Mbunge wa Viti Maalum alihama juzi CCM na kujiunga Chadema, Ester Bulaya amesema licha ya kuahidiwa vyeo vingi ukiwamo uwaziri na ukuu wa wilaya ili asihame CCM, aliamua kuviacha ili aweze kuwasaidia Watanzania wa chini ambao wameonewa na serikali ya chama hicho kwa miaka 50 iliyopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pedro:Nilikataa ombi la timu za Manchester

Mchezaji mpya wa Chelsea Pedro amefichua kwamba alikataa kujiunga na timu zote mbili za Manchester na badala yake kujiunga na Chelsea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yawapa uraia wakimbizi

Wakimbizi wa Burundi walioishi Tanzania kwa miongo kadha wamepewa uraia wa nchi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Warundi wapewa uraia wa Tanzania

 Serikali imetoa vyeti vya uraia kwa zaidi ya Warundi 160,000 waliokubali kuwa Watanzania baada ya kuishi nchini kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Mwananchi

Utata wa uraia wa Miss Tanzania mpya

>Baada ya taji la Miss Tanzania kuvishwa kwa mshindi wa pili, utata mwingine umeibuka baada ya mrithi huyo, Lilian Kamazima kudaiwa kuwa si raia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakimbizi wa Kisomali wapata uraia Tanzania

SERIKALI imewapa uraia wa Tanzania wakimbizi wa Kisomali wenye asili ya Kibantu 1,514 waliokuwa wanaishi Chogo, Wilaya ya Handeni, Tanga. Wakimbizi hao walikimbia nchi yao baada ya vita kutokea mwaka...

 

9 years ago

Bongo5

Mzungu Kichaa aelezea mpango wa kuchukua uraia wa Tanzania

Msanii wa muziki mwenye asili ya Denmark, Mzungu Kichaa amesema ametamani mara kadhaa kutaka kuchuku uraia wa Tanzania lakini ameshindwa kufanya hivyo kutokana na aina ya uraia unaotolewa hapa nchini. Muimbaji huyo aliyezaliwa nchini Denmark na kukulia Tanzania alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV kuwa katika kazi yake ya sanaa anapenda kuwakilisha Tanzania kwa […]

 

10 years ago

Vijimambo

Uraia katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka katika Rasimu ya katiba inayopendekezwa

Uraia wa Jamhuri yaMuungano

65.-(1) Mtu ambaye, kabla ya Katiba hii kuanza kutumika, ni raia wa
Jamhuri ya Muungano ataendelea kuwa raia wa Jamhuri ya Muungano.

(2) Uraia wa Jamhuri ya Muungano ni wa aina mbili na utapatikana kwa
njia ya kuzaliwa au kuandikishwa.

Haki ya uraia 66. Kila raia ana haki ya kutambuliwa uraia wake na kwa
madhumuni haya, mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria
utakaowezesha raia kupata hati ya kuzaliwa, kitambulisho cha uraia wake bila ya
upendeleo na ubaguzi wa aina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani