Utata wa uraia wa Miss Tanzania mpya
>Baada ya taji la Miss Tanzania kuvishwa kwa mshindi wa pili, utata mwingine umeibuka baada ya mrithi huyo, Lilian Kamazima kudaiwa kuwa si raia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utata mpya waibuka kashfa ya ‘Miss Tanzania’ 2014
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7t8tEQfjudg4rqydPKzlW20diakCX2j1nySJEYfOi6DQlQqOfgguGoCzOA0HOY2dsqbivpAJw6UVXbIgplFhMV9/FRONTAMANI.jpg)
URAIA WA WA RWANDA WAMLIZA MISS TZ MPYA!
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Miss Tanzania bado utata
10 years ago
Mwananchi27 Oct
UREMBO: Utata Miss Tanzania kujitoa
10 years ago
Mwananchi25 Oct
MAONI: Uchunguzi ufanyike utata wa umri wa Miss Tanzania
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lH6ACgqN7rA/VECrdWNqxzI/AAAAAAACRw4/68b1lGJm_uU/s72-c/IMG-20141016-WA0014.jpg)
UTATA WAZIDI KUTANDA UMRI NA UHALALI WA MISS TANZANIA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-lH6ACgqN7rA/VECrdWNqxzI/AAAAAAACRw4/68b1lGJm_uU/s1600/IMG-20141016-WA0014.jpg)
Aidha wadau hao wamezidi kwenda mbali zaidi kwa kuweka picha ya mrembo huyo...
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s72-c/MMGM0139.jpg)
HAYA NDO ALIYOSEMA LUNDENGA KUMALIZA UTATA WA UMRI WA MISS TANZANIA 2014 KWENYE PRESS CONFERENCE
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s1600/MMGM0139.jpg)
Hayo ni maelezo aliyoyatoa Mr. Hasheem Lundenga mbele ya Waandishi wa habari Dar es...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/237.jpg)
MISS TANZANIA YAPATA MWENYEKITI MPYA
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Jokate Mwegelo msemaji kamati mpya Miss Tanzania
NA ESTHER MNYIKA
MSIMAMIZI wa mashindano ya Urembo Tanzania, ‘Miss Tanzania’, Hashimu Lundenga, ametambulisha kamati mpya ya muda inayoundwa na wajumbe 12 akiwemo Jokate Mwegelo aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006.
Mwenyekiti wa kamati hiyo ni Juma Pinto, makamu mwenyekiti, Lucas Ritta, katibu mkuu ni Doris Mollel na Joketi Mwegelo ambaye ndiye anakuwa msemaji wa kamati hiyo.
Wajumbe wengine ni Hoyce Temu, Mohamed Bawazir, Gladyz Shao, Magdalena Munisi, Shah Ramadhani, Hamm...