Miss Tanzania bado utata
Kwa siku kumi, Kamati ya Miss Tanzania, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) wameshindwa kutatua kitendawili cha kashfa ya Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Utata wa uraia wa Miss Tanzania mpya
>Baada ya taji la Miss Tanzania kuvishwa kwa mshindi wa pili, utata mwingine umeibuka baada ya mrithi huyo, Lilian Kamazima kudaiwa kuwa si raia.
10 years ago
Mwananchi27 Oct
UREMBO: Utata Miss Tanzania kujitoa
Siku moja baada ya Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ‘kueleza’ kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii Facebook kulivua taji hilo, waandaaji wa mashindano hayo, Lino Agency International wamesema hawajapokea barua rasmi kutoka kwa mrembo huyo ya kulivua taji hilo.
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utata mpya waibuka kashfa ya ‘Miss Tanzania’ 2014
Hatima ya kashfa ya kudanganya umri inayomkabili aliyekuwa mrembo wa Tanzania mwaka 2014, Sitti Mtemvu bado ipo kizani baada ya polisi kuikana kauli ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita).
10 years ago
Mwananchi25 Oct
MAONI: Uchunguzi ufanyike utata wa umri wa Miss Tanzania
>Leo katika tovuti hii tumetoa habari inayoeleza kuwa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), wameamua kuunda tume maalumu kuchunguza sakata la Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lH6ACgqN7rA/VECrdWNqxzI/AAAAAAACRw4/68b1lGJm_uU/s72-c/IMG-20141016-WA0014.jpg)
UTATA WAZIDI KUTANDA UMRI NA UHALALI WA MISS TANZANIA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-lH6ACgqN7rA/VECrdWNqxzI/AAAAAAACRw4/68b1lGJm_uU/s1600/IMG-20141016-WA0014.jpg)
Aidha wadau hao wamezidi kwenda mbali zaidi kwa kuweka picha ya mrembo huyo...
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s72-c/MMGM0139.jpg)
HAYA NDO ALIYOSEMA LUNDENGA KUMALIZA UTATA WA UMRI WA MISS TANZANIA 2014 KWENYE PRESS CONFERENCE
Tweet
Mwaka 2005 kulikua na ushindani kidogo, mwaka 2006 kulikua na ushindani wa Wema na Jokate na upinzani huu umeendelea kuwepo kwenye mashindano yetu lakini ya mwaka huu imezidi mno, kumekua na matusi… kashfa na hata naona wamevuka mpaka na kuingiza mambo ya kisiasa ambayo sisi hatuyapendi, huu ni mchezo kama mchezo mwingine wowote… yani taji la mwaka mmoja limefunika mpaka katiba na Simba na Yanga?
Hayo ni maelezo aliyoyatoa Mr. Hasheem Lundenga mbele ya Waandishi wa habari Dar es...
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s1600/MMGM0139.jpg)
Hayo ni maelezo aliyoyatoa Mr. Hasheem Lundenga mbele ya Waandishi wa habari Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Mshitakiwa kesi ya twiga bado utata
MATUMAINI ya kumpata mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda nchini Qatar, Kamran Ahmed, yameyeyuka baada ya jana mshitakiwa huyo kutofika tena mahakamani. Mshitakiwa...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Yanga yajificha kisiwani, uwanja bado utata mtupu
>Wakati Al Ahly wakihaha kusaka uwanja utakaotumika kwa mchezo wa Jumapili, Yanga imetua salama Cairo na kuweka kambi yake katika kisiwa cha Munib.
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Pia atwaa taji la Miss Universe kwa utata
![pia](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/pia-300x200.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania