Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miss Tanzania bado utata

Kwa siku kumi, Kamati ya Miss Tanzania, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) wameshindwa kutatua kitendawili cha kashfa ya Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utata wa uraia wa Miss Tanzania mpya

>Baada ya taji la Miss Tanzania kuvishwa kwa mshindi wa pili, utata mwingine umeibuka baada ya mrithi huyo, Lilian Kamazima kudaiwa kuwa si raia.

 

10 years ago

Mwananchi

UREMBO: Utata Miss Tanzania kujitoa

Siku moja baada ya Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ‘kueleza’ kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii Facebook kulivua taji hilo, waandaaji wa mashindano hayo, Lino Agency International wamesema hawajapokea barua rasmi kutoka kwa mrembo huyo ya kulivua taji hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Utata mpya waibuka kashfa ya ‘Miss Tanzania’ 2014

Hatima ya kashfa ya kudanganya umri inayomkabili aliyekuwa mrembo wa Tanzania mwaka 2014, Sitti Mtemvu bado ipo kizani baada ya polisi kuikana kauli ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita).

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Uchunguzi ufanyike utata wa umri wa Miss Tanzania

>Leo katika tovuti hii tumetoa habari inayoeleza kuwa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), wameamua kuunda tume maalumu kuchunguza sakata la Miss Tanzania 2014,  Sitti Mtemvu.

 

10 years ago

Vijimambo

UTATA WAZIDI KUTANDA UMRI NA UHALALI WA MISS TANZANIA 2014

Baada ya kuonekana kuwa mrembo wa taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu, amedanga kuhusu umri wake halali aliotakiwa kutaja ili Kamati ya mashindano ya Miss Tanzania iweze kumruhusu kushiriki mashindano hayo au la, wadau wa tasnia ya urembo wanaomfahamu kwa karibu mrembo huyo wamekuwa wakizidi kutoa baadhi ya vidhibitisho vya mrembo huyo vinavyoonyesha umri halisi ambao ni miaka 25 badala ya ile 18 aliyoitaja.
Aidha wadau hao wamezidi kwenda mbali zaidi kwa kuweka picha ya mrembo huyo...

 

10 years ago

Jamtz.Com

HAYA NDO ALIYOSEMA LUNDENGA KUMALIZA UTATA WA UMRI WA MISS TANZANIA 2014 KWENYE PRESS CONFERENCE

Tweet
 Mwaka 2005 kulikua na ushindani kidogo, mwaka 2006 kulikua na ushindani  wa Wema na Jokate na upinzani huu umeendelea kuwepo kwenye mashindano yetu lakini ya mwaka huu imezidi mno, kumekua na matusi… kashfa na hata naona wamevuka mpaka na kuingiza mambo ya kisiasa ambayo sisi hatuyapendi, huu ni mchezo kama mchezo mwingine wowote… yani taji la mwaka mmoja limefunika mpaka katiba na Simba na Yanga?
Hayo ni maelezo aliyoyatoa Mr. Hasheem Lundenga mbele ya Waandishi wa habari Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mshitakiwa kesi ya twiga bado utata

MATUMAINI ya kumpata mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda nchini Qatar, Kamran Ahmed, yameyeyuka baada ya jana mshitakiwa huyo kutofika tena mahakamani. Mshitakiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yajificha kisiwani, uwanja bado utata mtupu

>Wakati Al Ahly wakihaha kusaka uwanja utakaotumika kwa mchezo wa Jumapili, Yanga imetua salama Cairo na kuweka kambi yake katika kisiwa cha Munib.

 

9 years ago

Mtanzania

Pia atwaa taji la Miss Universe kwa utata

piaLOS VEGAS, MAREKANI MREMBO kutoka nchini Ufilipino, Pia Wurtzbach, amefanikiwa kutwaa taji la Miss Universe Pageant, baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka nchini Colombia, Ariadna Arevalo, kwa utatanishi. Katika hafla hiyo ambayo ilifanyika kwenye ukumbi wa Planet Hollywood Resort, nchini Marekani, iliwaacha watu midomo wazi baada ya mtangazaji, Steve Harvey, kufanya makosa wakati wa kumtangaza mshindi wa taji hilo. Harvey alijikuta akilitaja jina la mrembo kutoka nchini Colombia, Ariadna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani