Bulaya: Nilikataa ahadi ya uwaziri
>Mbunge wa Viti Maalum alihama juzi CCM na kujiunga Chadema, Ester Bulaya amesema licha ya kuahidiwa vyeo vingi ukiwamo uwaziri na ukuu wa wilaya ili asihame CCM, aliamua kuviacha ili aweze kuwasaidia Watanzania wa chini ambao wameonewa na serikali ya chama hicho kwa miaka 50 iliyopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Kaseba: Nilikataa kuukana uraia wa Tanzania
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Pedro:Nilikataa ombi la timu za Manchester
9 years ago
Mwananchi04 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Uwaziri mkuu ni moto
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Uwaziri wawatesa Lembeli, Maige
SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli kutoa taarifa yake bungeni iliyowang’oa mawaziri wanne, vita kali imeibuka kati yake...
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Wanne wakataa uwaziri wa Magufuli
*Wahofia kwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu!
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WABUNGE wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi, MTANZANIA imebaini.
Hatua hiyo imetokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hofu ya wabunge hao kushindwa kwenda na kasi ya Rais Dk. John Magufuli, ambaye aliwaapisha mawaziri wapya Desemba 12, mwaka huu.
Wakizungumza na MTANZANIA wabunge hao ambao hawakupenda kutajwa majina yao gazetini...
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Uwaziri Mkuu ni cheo tata?
WAKATI tukisubiria atangazwe waziri mkuu mpya ni vyema tukajikumbusha chimbuko la cheo hiki kikub
Joseph Magata
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Aangusha ng’ombe watatu kusherehekea uwaziri
Na Elizabeth Mjatta
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, anadaiwa kuandaa ng’ombe watatu ambao watachinjwa leo kwa ajili ya kusherehekea kuteuliwa kushika wadhifa huo.
Mwijage, ambaye ni Mbunge wa Muleba Kaskazini (CCM), aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nafasi hiyo Januari 24, mwaka huu, baada ya kufanya mabadiliko madogo katika baraza lake la mawaziri baada ya kuibuka sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow.
Taarifa ambazo gazeti hili limezipata...