WARUNDI 152,572 WAHALALISHWA TANZANIA
Mkuu wa Makazi ya Mishamo, Fredrick Nisajile. Waliokuwa wakimbizi wa Burundi zaidi ya 152,572 walioingia nchini mwaka 1972, wamekabidhiwa vyeti vya uraia wa Tanzania. Wakimbizi hao walio omba uraia wa Tanzania mwaka 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka 2010, sasa watakuwa raia halali wa Tanzania kwa kuwa na uwezo wa kuchagua na kuchaguliwa katika nafasi mbalimbali za uongozi zikiwemo za udiwani na ubunge. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Warundi 152,572 wahalalishwa TZ
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Warundi 152,572 wawa raia wa Tanzania
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-J4HcuqAdqOc/VTy_fKQzjNI/AAAAAAAA7lg/BPF6sXt0B3I/s72-c/1.%2BPICHA-UHAKIKI.jpg)
UGAWAJI WA VYETI VYA URAIA KWA WATANZANIA WAPYA 152,572 WAFIKIA UKINGONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-J4HcuqAdqOc/VTy_fKQzjNI/AAAAAAAA7lg/BPF6sXt0B3I/s1600/1.%2BPICHA-UHAKIKI.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Warundi wapewa uraia wa Tanzania
10 years ago
Mtanzania10 Jun
152 mbaroni kwa kujiandikisha mara mbili BVR
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, limewatia mbaroni watu 152 wa Mkoa wa Njombe kwa tuhuma za kujiandikisha mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo wa elektroniki (BVR).
Akizungumza jana na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi wa NEC, Dk. Sisti Cariah, alisema watuhumiwa hao walinaswa kupitia vifaa maalumu na watashtakiwa kwa kosa la jinai ili iwe fundisho kwa wengine.
Alisema mfumo mpya wa BVR...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6aHSoyQUx37zGZm61F9FU6I-8am5vlocDohjzOkLkqJ1eJumeYi69*eiDg1BCamQupeb2pCmwAOfgestbEd4MU9/filedinbeautifulflowers.jpg?width=650)
Simba SC yasajili Warundi wawili
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Warundi wadakwa na meno 25 ya tembo
10 years ago
Habarileo30 May
Warundi waacha njaa kijijini Kagunga
MWEZI mmoja baada ya wakimbizi wa Burundi kuanza kuingia nchini wakikimbia machafuko nchini mwao, athari za ujio wao zimeanza kuonekana kutokana na kijiji cha Kagunga wilaya ya Kigoma, mwambao wa Kaskazini wa Ziwa Tanganyika, kukumbwa na njaa.
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Warundi 10,000 wakimbia nchi wikendi