Warundi 152,572 wahalalishwa TZ
Waliokuwa wakimbizi wa Burundi zaidi ya 152,572 walioingia nchini mwaka 1972, wamekabidhiwa vyeti vya uraia wa Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWARUNDI 152,572 WAHALALISHWA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Warundi 152,572 wawa raia wa Tanzania
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-J4HcuqAdqOc/VTy_fKQzjNI/AAAAAAAA7lg/BPF6sXt0B3I/s72-c/1.%2BPICHA-UHAKIKI.jpg)
UGAWAJI WA VYETI VYA URAIA KWA WATANZANIA WAPYA 152,572 WAFIKIA UKINGONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-J4HcuqAdqOc/VTy_fKQzjNI/AAAAAAAA7lg/BPF6sXt0B3I/s1600/1.%2BPICHA-UHAKIKI.jpg)
10 years ago
Mtanzania10 Jun
152 mbaroni kwa kujiandikisha mara mbili BVR
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, limewatia mbaroni watu 152 wa Mkoa wa Njombe kwa tuhuma za kujiandikisha mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo wa elektroniki (BVR).
Akizungumza jana na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi wa NEC, Dk. Sisti Cariah, alisema watuhumiwa hao walinaswa kupitia vifaa maalumu na watashtakiwa kwa kosa la jinai ili iwe fundisho kwa wengine.
Alisema mfumo mpya wa BVR...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6aHSoyQUx37zGZm61F9FU6I-8am5vlocDohjzOkLkqJ1eJumeYi69*eiDg1BCamQupeb2pCmwAOfgestbEd4MU9/filedinbeautifulflowers.jpg?width=650)
Simba SC yasajili Warundi wawili
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Warundi wadakwa na meno 25 ya tembo
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Warundi wapewa uraia wa Tanzania
10 years ago
Habarileo25 Nov
Warundi kortini kwa meno 18 ya tembo
RAIA watatu wa Burundi akiwemo mwanamke wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu mkazi wa Wilaya ya Morogoro, wakikabiliwa na mashitaka matatu ya kuhujumu uchumi baada ya kukamatwa na meno ya tembo 18, na mikia mitano ya twiga, vyote vikiwa na thamani ya Sh milioni 357.
10 years ago
Habarileo30 May
Warundi waacha njaa kijijini Kagunga
MWEZI mmoja baada ya wakimbizi wa Burundi kuanza kuingia nchini wakikimbia machafuko nchini mwao, athari za ujio wao zimeanza kuonekana kutokana na kijiji cha Kagunga wilaya ya Kigoma, mwambao wa Kaskazini wa Ziwa Tanganyika, kukumbwa na njaa.