Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warundi waacha njaa kijijini Kagunga

MWEZI mmoja baada ya wakimbizi wa Burundi kuanza kuingia nchini wakikimbia machafuko nchini mwao, athari za ujio wao zimeanza kuonekana kutokana na kijiji cha Kagunga wilaya ya Kigoma, mwambao wa Kaskazini wa Ziwa Tanganyika, kukumbwa na njaa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Soko la Kagunga Kigoma kunufaisha maziwa makuu

Ujenzi wa Soko la Kimataifa katika Kijiji cha Kagunga, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mkoani hapa jirani na mpaka wa Tanzania na Burundi linatarajiwa kuwa kichocheo kikubwa cha kibiashara katika nchi za maziwa makuu.

 

11 years ago

GPL

Simba SC yasajili Warundi wawili

Mshambuliaji mwenye kasi, Amissi Cedric. Na Sweetbert Lukonge
KAZI ya usajili imeanza na Simba wanaonekana kuwa na kasi kubwa baada ya kuanza mazungumzo na wachezaji wawili wanaokipiga kwenye timu ya taifa ya Burundi na mambo yanakwenda vizuri.
Simba iko katika hatua za mwisho kuwatia mkononi Warundi wawili baada ya kuwaona wakifanya vema katika mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars iliyochezwa juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Warundi wapewa uraia wa Tanzania

 Serikali imetoa vyeti vya uraia kwa zaidi ya Warundi 160,000 waliokubali kuwa Watanzania baada ya kuishi nchini kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Mwananchi

Warundi 152,572 wahalalishwa TZ

Waliokuwa wakimbizi wa Burundi zaidi ya 152,572 walioingia nchini mwaka 1972, wamekabidhiwa vyeti vya uraia wa Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Warundi wadakwa na meno 25 ya tembo

Polisi mkoani Katavi wanawashikilia watu wawili raia wa Burundi kwa tuhuma za kuwakuta na meno ya tembo 25 yakiwa na uzito wa kilo 42 yenye thamani ya Sh148 milioni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Warundi 10,000 wakimbia nchi wikendi

UNHCR inasema raia wengi walihofia usalama wao wakati wa uchaguzi wa ubunge uliofanyika hapo Jumatatu

 

9 years ago

Habarileo

Warundi wanaosaka hifadhi wazidi kuongezeka

IDADI ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta hifadhi ya ukimbizi imetajwa kuwa inazidi kuongezeka siku hadi siku. Taarifa iliyotolewa na msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga imesema hadi Oktoba 17 mwaka huu, idadi imefikia 107,112.

 

10 years ago

GPL

WARUNDI 152,572 WAHALALISHWA TANZANIA

Mkuu wa Makazi ya Mishamo, Fredrick Nisajile. Waliokuwa wakimbizi wa Burundi zaidi ya 152,572 walioingia nchini mwaka 1972, wamekabidhiwa vyeti vya uraia wa Tanzania. Wakimbizi hao walio omba uraia wa Tanzania mwaka 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka 2010, sasa watakuwa raia halali wa Tanzania kwa kuwa na uwezo wa kuchagua na kuchaguliwa katika nafasi mbalimbali za uongozi zikiwemo za udiwani na ubunge. ...

 

10 years ago

Habarileo

Warundi kortini kwa meno 18 ya tembo

RAIA watatu wa Burundi akiwemo mwanamke wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu mkazi wa Wilaya ya Morogoro, wakikabiliwa na mashitaka matatu ya kuhujumu uchumi baada ya kukamatwa na meno ya tembo 18, na mikia mitano ya twiga, vyote vikiwa na thamani ya Sh milioni 357.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani