Soko la Kagunga Kigoma kunufaisha maziwa makuu
Ujenzi wa Soko la Kimataifa katika Kijiji cha Kagunga, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mkoani hapa jirani na mpaka wa Tanzania na Burundi linatarajiwa kuwa kichocheo kikubwa cha kibiashara katika nchi za maziwa makuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Nov
JK azindua soko la kunufaisha wakulima
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1Q3gBdHqSWo/VLzXQar7vVI/AAAAAAAG-TQ/3TW12B_t5Wc/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Pinda ahudhuria mkutano wa Maziwa Makuu Nairobi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitia saini tamko la Mkutano Maalum wa Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR) kuhusu mikakati ya kutatua tatizo la ajira kwa vijana kupitia Uendelezaji Miundombinu na uwekezaji, uliofanyika kwenye hoteli ya Kempinski jijini Nairobi Julai 24, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Batilda Burian na wapili kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Habarileo13 Jun
Shein: Ushirikiano Z’bar Maziwa Makuu ni mzuri
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema kuwa Zanzibar imekuwa na uhusiano na ushirikiano mzuri na nchi za Maziwa Makuu, hivyo ipo haja ya kuimarisha hatua hiyo kwa kuendelea kuutangaza utalii wa Zanzibar katika nchi hizo.
10 years ago
Habarileo30 Jan
‘Kuna ongezeko la wahamiaji haramu nchi za Maziwa Makuu’
LICHA ya kuendeshwa kwa Operesheni Kimbunga ili kuondoa wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi nchini isivyo halali, imebainika kuwa kumekuwa na ongezeko kubwa la wahamiaji haramu kutoka nchi za Maziwa Makuu baada ya wengi wa walioondolewa katika operesheni hiyo kurejea nchini kimya kimya bila ya kukamilisha taratibu za kuishi nchini.
10 years ago
Michuzi13 Aug
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fcqFBU8UzrA/U9EJCBplRxI/AAAAAAAF5xM/f5rXTtiBn08/s72-c/unnamed+(16).jpg)
MH. PINDA AHUDHURIA MKUTANO WA MAZIWA MAKUU JIJINI NAIROBI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fcqFBU8UzrA/U9EJCBplRxI/AAAAAAAF5xM/f5rXTtiBn08/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xYgEFKAncDY/U8jF8Cj_QfI/AAAAAAAF3N4/x014zjw1iOc/s72-c/unnamed+(28).jpg)
BAN KI MOON ATEUA MJUMBE WAKE MPYA WA ENEO LA MAZIWA MAKUU
10 years ago
MichuziWaziri Membe azungumza na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa UN eneo la Maziwa Makuu