JK azindua soko la kunufaisha wakulima
Rais Jakaya Kikwete amezindua soko la bidhaa linalolenga kukuza masilahi ya wakulima nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Soko la Kagunga Kigoma kunufaisha maziwa makuu
Ujenzi wa Soko la Kimataifa katika Kijiji cha Kagunga, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mkoani hapa jirani na mpaka wa Tanzania na Burundi linatarajiwa kuwa kichocheo kikubwa cha kibiashara katika nchi za maziwa makuu.
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Msaada wa Bill Gates kunufaisha wakulima
Taasisi ya kimataifa ya bilionea Bill Gates na mkewe Melinda, Bill & Melinda Gates Foundation, imetoa Dola 6 milioni za Marekani ambazo ni Sh10.8 bilioni ili kusaidia mradi wa kuboresha kilimo cha ndizi na viazi vitamu Tanzania, Uganda na Ethiopia.
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Mucoba kunufaisha wakulima kwa mkopo nafuu
WAKULIMA wa Mkoa wa Iringa, wanatarajia kunufaika na ruzuku za pembejeo kupitia Benki ya wananchi Mufindi (Mucoba) kwa kupatiwa mikopo kwa kila kikundi cha wakulima itakayokuwa na riba nafuu. Akizungumza...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Soko lawatesa wakulima Korogwe
Wakulima na wafanyabiashara wa matunda wilayani Korogwe wanalazimika kuuza mazao yao kwa bei ya chini ili yasiharibike kutokana na kukosa soko.
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Wakulima wa Idodi walalamikia bei ya soko
Vikundi vya vikoba vya wakulima wa Kijiji cha Tungamalenga na Mapogolo Tarafa ya Idodi,Iringa Vijijini, vinakabiliwa na changamoto ya soko kutokana na mazao yao kununuliwa kwa bei ya chini.
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Wakulima kupata soko kwa teknolojia
Wakulima wa nchi za Afrika Mashariki wametakiwa kutumia teknolojia ya kisasa itakayowawezesha kupata kirahisi masoko na pembejeo za kilimo.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kulikoni wakulima wanateseka kutafuta soko?
Moja ya mambo ninayoyaona mara kwa mara ninapokuwa safarini, ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari, kusimama kununua bidhaa zao.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wakulima mananasi Geita walia na soko
Wakulima wa mananasi katika Kijiji cha Igate, mkoani Geita wamesema kukosekana kwa soko la uhakika wa zao hilo, kunasababisha hasara na kuwavunja nguvu.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Wakulima bado wanateseka kutafuta soko
Moja ya jambo ninaloliona mara kwa mara ninapokuwa safarini ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari kusimama kununua bidhaa zao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania