Wakulima kupata soko kwa teknolojia
Wakulima wa nchi za Afrika Mashariki wametakiwa kutumia teknolojia ya kisasa itakayowawezesha kupata kirahisi masoko na pembejeo za kilimo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTEKNOLOJIA YA UMWAGILIAJI KWA NJIA YA MATONE ITAKUZA KILIMO CHA MATUNDA NA MBOGA KWA WAKULIMA
10 years ago
StarTV17 Jan
Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Na Ahmed Makongo,
Bunda.
Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.
Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.
where to get student loans with no credit
Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...
10 years ago
GPLSOKO LA WAKULIMA KAHAMA LATEKETEA KWA MOTO
5 years ago
MichuziWAKULIMA MAZAO YA VIUNGO WATOA OMBI KWA SERIKALI , SAT WAELEZA WANAVYOSAIDIA KUTAFUTA SOKO LA UHAKIKA
Baadhi ya wakulima wa kilimo hai mkoani Morogoro wakiwa katika moja ya mkutano wenye lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayohusu kilimo hicho ambapo wametumia nafasi hiyo kutoa ombi kwa Serikali kuanzisha bodi ambayo itahusika kusimamia mazao ya kilimo hai yakiwemo mazao ya viungo ambayo yamekuwa yakilimwa na baadhi ya wakulima ambao wako chini ya mradi wa unaosimamiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT).
Mkurugenzi Mtendaji wa SAT Janeth Maro akifafanua jambo kwa waandishi wa...
10 years ago
Habarileo19 Oct
Wakulima 2,379 wanufaika na teknolojia mpya
WAKULIMA 2,379 kutoka wilaya tano hapa nchini wamenufaika na elimu ya teknolojia mpya ya matumizi ya mbegu mpya za mahindi na mbaazi pamoja na kulima kwa kutumia kilimo mseto na kilimo hifadhi.
9 years ago
Mwananchi02 Nov
JK azindua soko la kunufaisha wakulima
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Soko lawatesa wakulima Korogwe
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kulikoni wakulima wanateseka kutafuta soko?
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wakulima mananasi Geita walia na soko