Soko lawatesa wakulima Korogwe
Wakulima na wafanyabiashara wa matunda wilayani Korogwe wanalazimika kuuza mazao yao kwa bei ya chini ili yasiharibike kutokana na kukosa soko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Soko la sukari lawatesa wawekezaji wazawa
TANZANIA kwa muda mrefu imekuwa na mkakati unaotekelezwa kwa lengo la kufufua na kuendeleza viwanda vya ndani ili kuzalisha bidhaa zitakazokuwa na ubora katika ushindani wa soko. Katika mkakati huo,...
9 years ago
Mwananchi02 Nov
JK azindua soko la kunufaisha wakulima
Rais Jakaya Kikwete amezindua soko la bidhaa linalolenga kukuza masilahi ya wakulima nchini.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kulikoni wakulima wanateseka kutafuta soko?
Moja ya mambo ninayoyaona mara kwa mara ninapokuwa safarini, ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari, kusimama kununua bidhaa zao.
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Wakulima kupata soko kwa teknolojia
Wakulima wa nchi za Afrika Mashariki wametakiwa kutumia teknolojia ya kisasa itakayowawezesha kupata kirahisi masoko na pembejeo za kilimo.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wakulima mananasi Geita walia na soko
Wakulima wa mananasi katika Kijiji cha Igate, mkoani Geita wamesema kukosekana kwa soko la uhakika wa zao hilo, kunasababisha hasara na kuwavunja nguvu.
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Wakulima wa Idodi walalamikia bei ya soko
Vikundi vya vikoba vya wakulima wa Kijiji cha Tungamalenga na Mapogolo Tarafa ya Idodi,Iringa Vijijini, vinakabiliwa na changamoto ya soko kutokana na mazao yao kununuliwa kwa bei ya chini.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Wakulima bado wanateseka kutafuta soko
Moja ya jambo ninaloliona mara kwa mara ninapokuwa safarini ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari kusimama kununua bidhaa zao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR5YY5tdKYsyWJSPNIKeHhEh-WtyQZFPs5X*3n7ZI7Av--34ih6FS3GW*0-LsxOnbudXUHdCX7aGKVEmdsdmvUCR/IMG20150713WA0028.jpg)
SOKO LA WAKULIMA KAHAMA LATEKETEA KWA MOTO
Soko la Wakulima la Majengo, Kahama lilivyoteketea kwa moto. Wafanyabiashara wa soko hilo wakitoa baadhi ya bidhaa zilizosalia baada ya tukio hilo. Uokoaji wa bidhaa ukiendelea.…
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga
>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania