Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Soko lawatesa wakulima Korogwe

Wakulima na wafanyabiashara wa matunda wilayani Korogwe wanalazimika kuuza mazao yao kwa bei ya chini ili yasiharibike kutokana na kukosa soko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Soko la sukari lawatesa wawekezaji wazawa

TANZANIA kwa muda mrefu imekuwa na mkakati unaotekelezwa kwa lengo la kufufua na kuendeleza viwanda vya ndani ili kuzalisha bidhaa zitakazokuwa na ubora katika ushindani wa soko. Katika mkakati huo,...

 

9 years ago

Mwananchi

JK azindua soko la kunufaisha wakulima

Rais Jakaya Kikwete amezindua soko la bidhaa linalolenga kukuza masilahi ya wakulima nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kulikoni wakulima wanateseka kutafuta soko?

Moja ya mambo ninayoyaona mara kwa mara ninapokuwa safarini, ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari, kusimama kununua bidhaa zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima kupata soko kwa teknolojia

Wakulima wa nchi za Afrika Mashariki wametakiwa kutumia teknolojia ya kisasa itakayowawezesha kupata kirahisi masoko na pembejeo za kilimo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima mananasi Geita walia na soko

Wakulima wa mananasi katika Kijiji cha Igate, mkoani Geita wamesema kukosekana kwa soko la uhakika wa zao hilo, kunasababisha hasara na kuwavunja nguvu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa Idodi walalamikia bei ya soko

Vikundi vya vikoba vya wakulima wa Kijiji cha Tungamalenga na Mapogolo Tarafa ya Idodi,Iringa Vijijini, vinakabiliwa na changamoto ya soko kutokana na mazao yao kununuliwa kwa bei ya chini.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima bado wanateseka kutafuta soko

Moja ya jambo ninaloliona mara kwa mara ninapokuwa safarini ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari kusimama kununua bidhaa zao.

 

10 years ago

GPL

SOKO LA WAKULIMA KAHAMA LATEKETEA KWA MOTO

Soko la Wakulima la Majengo, Kahama lilivyoteketea kwa moto. Wafanyabiashara wa soko hilo wakitoa baadhi ya bidhaa zilizosalia baada ya tukio hilo. Uokoaji wa bidhaa ukiendelea.…

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani