Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima bado wanateseka kutafuta soko

Moja ya jambo ninaloliona mara kwa mara ninapokuwa safarini ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari kusimama kununua bidhaa zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kulikoni wakulima wanateseka kutafuta soko?

Moja ya mambo ninayoyaona mara kwa mara ninapokuwa safarini, ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari, kusimama kununua bidhaa zao.

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMA MAZAO YA VIUNGO WATOA OMBI KWA SERIKALI , SAT WAELEZA WANAVYOSAIDIA KUTAFUTA SOKO LA UHAKIKA


Baadhi ya wakulima wa kilimo hai mkoani Morogoro wakiwa katika moja ya mkutano wenye lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayohusu kilimo hicho ambapo wametumia nafasi hiyo kutoa ombi kwa Serikali kuanzisha bodi ambayo itahusika kusimamia mazao ya kilimo hai yakiwemo mazao ya viungo ambayo yamekuwa yakilimwa na baadhi ya wakulima ambao wako chini ya mradi wa unaosimamiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT).
Mkurugenzi Mtendaji wa SAT Janeth Maro akifafanua jambo kwa waandishi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yahaha kutafuta soko la mahindi nje

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa wito kwa wafanyabiashara kuchangamkia masoko ya mazao ya chakula nje ya nchi hasa mahindi kwa kuwa yapo mengi nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kutafuta soko la Utalii nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imeamua kutafuta soko la utalii kutoka nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati ili kuongeza idadi ya watalii nchini na kukuza pato la Taifa kupitia sekta hiyo.

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian bado wanahaha kutafuta jina la mtoto wao ajaye

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Muda wa kumpokea mtoto wa pili umekaribia lakini Kim Kardashian na Kanye West wanadaiwa hadi sasa hawajapata jina la kumpa.

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wanandoa hao wamekuwa wakijadiliana majina ya kumpa lakini bado hawajapenda hata moja.

Wanatarajia kupata mtoto wa kiume siku ya Christmas japo Kim anahofia kuwa anaweza kujifungua mapema zaidi. Kanye na Kim wana mtoto wa kike, North.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

 

9 years ago

Mwananchi

JK azindua soko la kunufaisha wakulima

Rais Jakaya Kikwete amezindua soko la bidhaa linalolenga kukuza masilahi ya wakulima nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Soko lawatesa wakulima Korogwe

Wakulima na wafanyabiashara wa matunda wilayani Korogwe wanalazimika kuuza mazao yao kwa bei ya chini ili yasiharibike kutokana na kukosa soko.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima mananasi Geita walia na soko

Wakulima wa mananasi katika Kijiji cha Igate, mkoani Geita wamesema kukosekana kwa soko la uhakika wa zao hilo, kunasababisha hasara na kuwavunja nguvu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa Idodi walalamikia bei ya soko

Vikundi vya vikoba vya wakulima wa Kijiji cha Tungamalenga na Mapogolo Tarafa ya Idodi,Iringa Vijijini, vinakabiliwa na changamoto ya soko kutokana na mazao yao kununuliwa kwa bei ya chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani