UGAWAJI WA VYETI VYA URAIA KWA WATANZANIA WAPYA 152,572 WAFIKIA UKINGONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-J4HcuqAdqOc/VTy_fKQzjNI/AAAAAAAA7lg/BPF6sXt0B3I/s72-c/1.%2BPICHA-UHAKIKI.jpg)
Afisa Uhakiki, Neema Chilipweli (kushoto) akiihakiki familia ya Yohanna Bukuru (watatu kulia), pamoja na mkewe na watoto wao sita kutoka Kijiji cha Kapemba, Kata ya Mishamo, wilayani Mpanda Vijijini, Mkoa wa Katavi, ikiwa ni hatua ya awali ya uhakiki ili familia hiyo iweze kupewa vyeti vya uraia wa Tanzania. Zaidi ya watu 152,572 katika Makazi ya Mishamo, Katumba na Ulyankulu waliokuwa wakimbizi wa Burundi wa mwaka 1972 walioomba uraia 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI
11 years ago
MichuziSERIKALI YAWAPA VYETI VYA URAIA WATANZANIA WENYE ASILI YA KISOMALI 1,514
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Warundi 152,572 wahalalishwa TZ
10 years ago
GPLWARUNDI 152,572 WAHALALISHWA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Warundi 152,572 wawa raia wa Tanzania
11 years ago
Michuzi28 Apr
KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA
Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.
ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997
Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,
Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Watanzania asilimia13 wana vyeti vya kuzaliwa
OFISA Habari wa Mamlaka ya Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Jafari Malema amesema asilimia 13 ya Watanzania wote milioni 45 ndiyo wenye vyeti vya kuzaliwa. Akizungumza na Tanznaia Daima lilipotembelea...
10 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8SoyliWxdAo/U6P5U82AKXI/AAAAAAAFr2s/JTRJ1-24snc/s72-c/1.jpg)
JAJI MKUU AWATUNUKU VYETI MAWAKILI WAPYA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8SoyliWxdAo/U6P5U82AKXI/AAAAAAAFr2s/JTRJ1-24snc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bm8kEEPow-U/U6P5v7GTLYI/AAAAAAAFr54/WlQq_w4-Vxs/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n28ri5swGa4/U6P5mj56hHI/AAAAAAAFr40/2fQium_mwIw/s1600/25.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pWorK9t6p8Y/U6P5ohmHnbI/AAAAAAAFr5E/LfUu7SHWvqY/s1600/26.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qGBSJZtPztI/U6P5o2CSE3I/AAAAAAAFr5I/h0vIduGK5yE/s1600/27.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI