JAJI MKUU AWATUNUKU VYETI MAWAKILI WAPYA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8SoyliWxdAo/U6P5U82AKXI/AAAAAAAFr2s/JTRJ1-24snc/s72-c/1.jpg)
Jaji Mkuu wa Tanzania,Mh. Othman Chande (katikati) akiwaongoza majaji mbali mbali wakati wa Sherehe ya 50 ya kuanzia mwaka 1986 ya kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya,iliyofanyika leo kwenye Viwanja vya Karimjee,Jijini Dar es Salaam
Jaji Mkuu wa Tanzania,Mh. Othman Chande akiwatunuku vyeti baadhi ya Mawakili wapya waliokubaliwa na kusajiliwa leo kwenye viwanja vya Katimjee,Jijini Dar es Salaam.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-c5o3z6O3G84/VZaK2hcdBuI/AAAAAAAHmps/eGiPjZdB96A/s72-c/UntitledB1.png)
Jaji Mkuu aongoza sherehe za kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya jijini Dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-c5o3z6O3G84/VZaK2hcdBuI/AAAAAAAHmps/eGiPjZdB96A/s640/UntitledB1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q3DNcAFaCMI/VZaLFz5tR1I/AAAAAAAHmp0/Y9ONDwHTQkU/s640/UntitledB2.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rTZN2Q4XK4E/U6R0o0FG0HI/AAAAAAAFsB4/O7JzleeMzzo/s72-c/10.jpg)
Jaji mkuu awaasa mawakili wapya na wa zamani
Jaji Mkuu pia amewahimiza Mawakili wapya hao kujiendeleza kitaaluma kwa sababu kuwa wakili sio mwisho wa taaluma, na pia amewataka Mawakili wa zamani kuwapokea...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8WDTSZ1nmNE/VZhc9pbO_4I/AAAAAAAHm-I/kJU7FOzJo2A/s72-c/a1.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN AWAAPISHA JUMLA YA MAWAKILI 412 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-8WDTSZ1nmNE/VZhc9pbO_4I/AAAAAAAHm-I/kJU7FOzJo2A/s640/a1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HoC_5r5i6t4/VZhc_7eE0eI/AAAAAAAHm-Q/3O_PMXNWSMY/s640/a3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4SCO-GPt6c/VZhdOARElpI/AAAAAAAHm-Y/K1-_dM5biuM/s640/a2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j1-4COUTmK8/VZYt2EU_z-I/AAAAAAAHmko/s7XLAFphPwo/s72-c/20150702230337.jpg)
Sherehe ya 52 ya kuwakubali na kuwasajiri mawakili wapya nchini,katika viwanja vya karimjee jijini Dar hivi sasa
![](http://2.bp.blogspot.com/-j1-4COUTmK8/VZYt2EU_z-I/AAAAAAAHmko/s7XLAFphPwo/s640/20150702230337.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S9i07R9uJAc/VZYt25NCYHI/AAAAAAAHmks/giORu5O1Aa0/s640/20150702233443.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Jaji Mkuu Chande awaonya mawakili kuchelewesha kesi
9 years ago
MichuziMAWAKILI ZINGATIENI MAADILI YA TAALUMA YA SHERIA – JAJI MKUU
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mawakili zingatieni maadili ya taaluma ya Sheria-Jaji Mkuu Mh. Othman Chande!!
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akizungumza na Mawakili 104 walioapishwa jana Desemba 15, jijini Dar es salaam. Mhe. Chande amewataka Mawakili hao kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mawakili zingatieni maadil ya taaluma ya Sheria-Jaji Mkuu Mh. Othman Chande!!
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akizungumza na Mawakili 104 walioapishwa jana Desemba 15, jijini Dar es salaam. Mhe. Chande amewataka Mawakili hao kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda...
9 years ago
CCM Blog01 Nov
VIDEO MBALIMBALI, WAKATI WA HAFLA YA DK. MAGUFULI NA MAMA SAMIA KUKABIDHIWA VYETI YAO VYA USHINDI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
2. MKurugenzi wa NEC Ramadhan Kailima akitoa tathmini ya mchakato wa uchaguzi mkuu mwaka 2015;
BOFYA HAPA
3. Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu, Damian Lubuva akitoa taarifa za matokeo ya uchaguzi 2015 katika hafla ya kutangazwa mshindi wa urais 2015;
BOFYA...