Jaji mkuu awaasa mawakili wapya na wa zamani
![](http://4.bp.blogspot.com/-rTZN2Q4XK4E/U6R0o0FG0HI/AAAAAAAFsB4/O7JzleeMzzo/s72-c/10.jpg)
Jaji mkuu wa Tanzania Ndugu Mohamed Othman Chande leo amewataka mawakili wapya kufanya kazi zao za Uwakili kwa kuzingatia maadili ya taaluma ya uwakili.
Jaji Mkuu aliyasema hayo wakati wa Sherehe ya 50 ya kuanzia mwaka 1986 ya kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya,iliyofanyika leo kwenye Viwanja vya Karimjee,Jijini Dar es Salaam
Jaji Mkuu pia amewahimiza Mawakili wapya hao kujiendeleza kitaaluma kwa sababu kuwa wakili sio mwisho wa taaluma, na pia amewataka Mawakili wa zamani kuwapokea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8SoyliWxdAo/U6P5U82AKXI/AAAAAAAFr2s/JTRJ1-24snc/s72-c/1.jpg)
JAJI MKUU AWATUNUKU VYETI MAWAKILI WAPYA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8SoyliWxdAo/U6P5U82AKXI/AAAAAAAFr2s/JTRJ1-24snc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bm8kEEPow-U/U6P5v7GTLYI/AAAAAAAFr54/WlQq_w4-Vxs/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n28ri5swGa4/U6P5mj56hHI/AAAAAAAFr40/2fQium_mwIw/s1600/25.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pWorK9t6p8Y/U6P5ohmHnbI/AAAAAAAFr5E/LfUu7SHWvqY/s1600/26.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qGBSJZtPztI/U6P5o2CSE3I/AAAAAAAFr5I/h0vIduGK5yE/s1600/27.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-c5o3z6O3G84/VZaK2hcdBuI/AAAAAAAHmps/eGiPjZdB96A/s72-c/UntitledB1.png)
Jaji Mkuu aongoza sherehe za kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya jijini Dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-c5o3z6O3G84/VZaK2hcdBuI/AAAAAAAHmps/eGiPjZdB96A/s640/UntitledB1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q3DNcAFaCMI/VZaLFz5tR1I/AAAAAAAHmp0/Y9ONDwHTQkU/s640/UntitledB2.png)
10 years ago
Habarileo04 Jul
Jaji Mkuu awaasa watumishi mahakama
JAJI Mkuu wa Tanzania, Othman Chande amewataka watumishi wa mahakama nchini kuwa waadilifu wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao.
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Jaji Mkuu Chande awaonya mawakili kuchelewesha kesi
9 years ago
MichuziMAWAKILI ZINGATIENI MAADILI YA TAALUMA YA SHERIA – JAJI MKUU
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mawakili zingatieni maadil ya taaluma ya Sheria-Jaji Mkuu Mh. Othman Chande!!
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akizungumza na Mawakili 104 walioapishwa jana Desemba 15, jijini Dar es salaam. Mhe. Chande amewataka Mawakili hao kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mawakili zingatieni maadili ya taaluma ya Sheria-Jaji Mkuu Mh. Othman Chande!!
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akizungumza na Mawakili 104 walioapishwa jana Desemba 15, jijini Dar es salaam. Mhe. Chande amewataka Mawakili hao kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8WDTSZ1nmNE/VZhc9pbO_4I/AAAAAAAHm-I/kJU7FOzJo2A/s72-c/a1.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN AWAAPISHA JUMLA YA MAWAKILI 412 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-8WDTSZ1nmNE/VZhc9pbO_4I/AAAAAAAHm-I/kJU7FOzJo2A/s640/a1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HoC_5r5i6t4/VZhc_7eE0eI/AAAAAAAHm-Q/3O_PMXNWSMY/s640/a3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4SCO-GPt6c/VZhdOARElpI/AAAAAAAHm-Y/K1-_dM5biuM/s640/a2.jpg)
10 years ago
MichuziJAJI MKUU WA TANZANIA AFUNGUA RASMI MAFUNZO ELEKEZI YA MAJAJI WAPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-vyjiEBwdDXA/VASBBmo2VYI/AAAAAAAGaBc/SxRI3gb_5xg/s1600/unnamed%2B(22).jpg)