Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MACHAFUKO YA BURUNDI YANATUGUSA; NKURUNZIZA AELEZWE UKWELI

Rais Pierre Nkurunziza. NIANZE makala haya kwa kumsifu Mungu aliyeumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, aliyeumba mbingu na nchi, hakika ahimidiwe daima. Baba wa Taifa Mwalimu Julius  Nyerere aliposema kuwa vita vya karne ya 21 havitakuwa tena baina ya mataifa bali wenyewe kwa wenyewe aliona mbali sana. Tangu kauli hiyo ya  busara  ilipotamkwa tumeshuhudia kuchinjana kwa wananchi wa  Burundi, Congo, Rwanda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?

Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.

 

10 years ago

Mwananchi

JK aweka mkakati kuepusha machafuko nchini Burundi

>Katika kuhakikisha Burundi inaendelea kuwa na amani, Rais Jakaya Kikwete ameishauri nchini hiyo kutekeleza mambo manne ili kuepuka kuingia katika machafuko ya kisiasa.

 

10 years ago

Vijimambo

MACHAFUKO BURUNDI:Rais Nkurunzinza akataa kuachia madaaraka.

Wananchi wa Burundi wameandamana na kusababisha fujo kubwa na polisi wa nchi hiyo. Hii ni baada ya Rais anaeondoka madarakani Bwana Pierre Nkurunzinza kukataa kuachia madaraka na kuamua kugombea awamu nyingine ya tatu kinyume na katiba ya Burundi. Polisi wa kuzuia fujo wa Burundi wakitumia nguvu dhidi ya wananchi.
 Rais Nkurunzinza na wafuasi wake wamesema muhula wa kwanza wa rais huyo hauhesabiki kwa maana aliteuliwa na bunge la nchi hiyo. Hivyo anaweza gombea muhula mwingine.
Rais mstaafu...

 

10 years ago

Vijimambo

MACHAFUKO YA BURUNDI NI MZIGO WAWAKIMBIZI TANZANIA POLISI WAZIDIWA NGUVU NA WAANDAMANAJI WENYE JAZBA



Waandamanaji wakimkimbiza polisi wa kike baada ya kukimbiwa na polisi wenzake pale polisi walivyozidiwa nguvu na waandamanaji.
Waandamanaji wamesha mkamata polisi wa kike na kumbeba mzobe mzobe amani imetoweka kabisa kwa ndugu zetu hawa.
Wakimburuza chini uku wakimshutumu kwanini wanawashuti na wao sasa watalipiza kisasi kwa kumuua kwa mikono yao.
Baati mzuri kulikuwa na wasamalia wema ambao walikuwa na roho ya utu na walimuokoa kabla ya mabaya zaidi kumkuta hii yote inatokea polisi wenzie...

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: WAKATI NCHI YA BURUNDI IKIWA KWENYE MACHAFUKO, RAISI WAKE PIERRE NKURUNZINZA AONEKANA AKISAKATA KABUMBU

Burundi kwa sasa iko kwenye vichwa cingi vya habari kutokana na hali ya machafuko ambayo ilijitokeza baada ya Rais Pierre Nkurunziza atangaze uamuzi wa kuwania Urais kwa awamu ya tatu mfululizo.nzizaJaribio la kutaka kumpindua madarakani wakati akiwa Tanzania kwenye mkutano wa usuluhishi pamoja na Marais wengine wanaounga Jumuiya ya Afrika Mashariki halikufanikiwa na sasa uamuzi uliofikiwa ni kuahirishwa kwa uchaguzi wa Wabunge.pierKingine kilichonifikia leo ni kwamba pamoja na machafuko...

 

10 years ago

BBC

Burundi's President Nkurunziza in profile

Burundi's footballing, born-again, farming president

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amehairisha uchaguzi wa ubunge kwa siku 10 .Uchaguzi wa urais unaendelea mbele

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Rais Nkurunziza akemea mauaji

Rais wa Burundi,Pierre Nkurunziza amekemea mauaji ya aliyekuwa mkuu wa upelelezi nchini humo

 

10 years ago

TheCitizen

How Nkurunziza sneaked to Burundi after coup bid

>Dramatic details of how embattled Burundi President Pierre Nkurunziza was sneaked back into his crisis-torn country from Tanzania can now be revealed.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani