MACHAFUKO BURUNDI:Rais Nkurunzinza akataa kuachia madaaraka.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IaR5TID8EFo/VT5nqh3ssGI/AAAAAAAAATw/ZDo0ZauvXLc/s72-c/BURUNDI%2B2.jpg)
Wananchi wa Burundi wameandamana na kusababisha fujo kubwa na polisi wa nchi hiyo. Hii ni baada ya Rais anaeondoka madarakani Bwana Pierre Nkurunzinza kukataa kuachia madaraka na kuamua kugombea awamu nyingine ya tatu kinyume na katiba ya Burundi. Polisi wa kuzuia fujo wa Burundi wakitumia nguvu dhidi ya wananchi.
Rais Nkurunzinza na wafuasi wake wamesema muhula wa kwanza wa rais huyo hauhesabiki kwa maana aliteuliwa na bunge la nchi hiyo. Hivyo anaweza gombea muhula mwingine.
Rais mstaafu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-_bXFfyOXkaw/VV39FdUbY0I/AAAAAAAABmc/pROPylkKKzY/s72-c/_83143336_027306034-1.jpg)
PICHA: WAKATI NCHI YA BURUNDI IKIWA KWENYE MACHAFUKO, RAISI WAKE PIERRE NKURUNZINZA AONEKANA AKISAKATA KABUMBU
![](http://4.bp.blogspot.com/-_bXFfyOXkaw/VV39FdUbY0I/AAAAAAAABmc/pROPylkKKzY/s400/_83143336_027306034-1.jpg)
![nziza](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/nziza.jpg?resize=439%2C247)
![pier](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/pier.jpg?resize=441%2C248)
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE KUTOKA KWA RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZINZA
10 years ago
BBCSwahili13 May
Burundi:Rais Nkurunzinza ''apinduliwa''
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-DBjTq9G57iM/XuQ1gu8lV0I/AAAAAAAC7bk/Rx8S1dzCMKogVhVsFMvf5u6-aNQEa9B9ACLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ebOeoXUFsM4/XuXwPJZ0whI/AAAAAAALtxE/X-bqpmdUIMUr2z76A3etaBZcp8L81u0vwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.27%2BPM.jpeg)
RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZINZA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ebOeoXUFsM4/XuXwPJZ0whI/AAAAAAALtxE/X-bqpmdUIMUr2z76A3etaBZcp8L81u0vwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.27%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZTgnwz4fuo/XuXwPYZ7umI/AAAAAAALtxI/t7YfcOZA1H8wdkBXxF9TJAWrTf7tt4lyQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.28%2BPM.jpeg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA BARAZA LA SENETI NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA JAMHURI YA BURUNDI,PIERRE NKURUNZINZA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-svYpaVwVnOM/VVNLwLeOb7I/AAAAAAAHXCU/czWmR7-cn4U/s72-c/Burundi_s_President_Pierre_Nkurunziza.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZZ......: Rais Nkurunzinza wa Burundi ''apinduliwa''
![](http://2.bp.blogspot.com/-svYpaVwVnOM/VVNLwLeOb7I/AAAAAAAHXCU/czWmR7-cn4U/s400/Burundi_s_President_Pierre_Nkurunziza.jpg)
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.
Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon'golewa madarakani.
Meja Generali Niyombareh amesema wamechukua hatua hiyo baada...
10 years ago
Michuzi10 Jun