PICHA: WAKATI NCHI YA BURUNDI IKIWA KWENYE MACHAFUKO, RAISI WAKE PIERRE NKURUNZINZA AONEKANA AKISAKATA KABUMBU
![](http://4.bp.blogspot.com/-_bXFfyOXkaw/VV39FdUbY0I/AAAAAAAABmc/pROPylkKKzY/s72-c/_83143336_027306034-1.jpg)
Burundi kwa sasa iko kwenye vichwa cingi vya habari kutokana na hali ya machafuko ambayo ilijitokeza baada ya Rais Pierre Nkurunziza atangaze uamuzi wa kuwania Urais kwa awamu ya tatu mfululizo.
Jaribio la kutaka kumpindua madarakani wakati akiwa Tanzania kwenye mkutano wa usuluhishi pamoja na Marais wengine wanaounga Jumuiya ya Afrika Mashariki halikufanikiwa na sasa uamuzi uliofikiwa ni kuahirishwa kwa uchaguzi wa Wabunge.
Kingine kilichonifikia leo ni kwamba pamoja na machafuko...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IaR5TID8EFo/VT5nqh3ssGI/AAAAAAAAATw/ZDo0ZauvXLc/s72-c/BURUNDI%2B2.jpg)
MACHAFUKO BURUNDI:Rais Nkurunzinza akataa kuachia madaaraka.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IaR5TID8EFo/VT5nqh3ssGI/AAAAAAAAATw/ZDo0ZauvXLc/s1600/BURUNDI%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CAdIZ0x-zXw/VT5nqookisI/AAAAAAAAATs/n8-VkRNoz5w/s1600/BURUNDI%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NLSR-b504GU/VT5nqjFkz4I/AAAAAAAAATo/OK2EUxWjuY4/s1600/BURUNDI.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Jun
5 years ago
BBCSwahili13 Jun
Pierre Nkurunziza:Nchi za Afrika mashariki kumuomboleza Nkurunzinza
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE KUTOKA KWA RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZINZA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-DBjTq9G57iM/XuQ1gu8lV0I/AAAAAAAC7bk/Rx8S1dzCMKogVhVsFMvf5u6-aNQEa9B9ACLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ebOeoXUFsM4/XuXwPJZ0whI/AAAAAAALtxE/X-bqpmdUIMUr2z76A3etaBZcp8L81u0vwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.27%2BPM.jpeg)
RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZINZA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ebOeoXUFsM4/XuXwPJZ0whI/AAAAAAALtxE/X-bqpmdUIMUr2z76A3etaBZcp8L81u0vwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.27%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZTgnwz4fuo/XuXwPYZ7umI/AAAAAAALtxI/t7YfcOZA1H8wdkBXxF9TJAWrTf7tt4lyQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.01.28%2BPM.jpeg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA BARAZA LA SENETI NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA JAMHURI YA BURUNDI,PIERRE NKURUNZINZA
10 years ago
Dewji Blog13 May
Breaking News!: Jeshi lachukua Nchi Burundi, Rais Nkurunzinza akiwa Tanzania
Pierre Nkurunziza -Pichani
Na MASHIRIKA YA HABARI
Ripoti kutoka Bujumbura, nchini Burundi zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi.
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.
Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon’golewa madarakani.
Meja...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake
Unakumbuka au umwahi kusikia zile headlines za mtu mnene kuliko wote duniani, basi imenifikia stori yake mpya japokuwa sio njema mtu wangu. Andres Moreno jamaa ambaye anashikilia rekodi ya kuwa mtu mnene duniani amefariki dunia December 25 siku ya sikukuu ya Chrismass. Stori kutoka indianexpress.com zinaeleza Andres Moreno ambaye alikuwa anatajwa kuwa na uzito wa Kilogram […]
The post RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake appeared first on...