Pierre Nkurunziza:Nchi za Afrika mashariki kumuomboleza Nkurunzinza
Tanzania, Kenya na Rwanda ambazo ni nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wameungana kumuomboleza rais wa Burundi Piere Nkurunziza aliyefariki ghafla Jumatatu wiki hii.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-_bXFfyOXkaw/VV39FdUbY0I/AAAAAAAABmc/pROPylkKKzY/s72-c/_83143336_027306034-1.jpg)
PICHA: WAKATI NCHI YA BURUNDI IKIWA KWENYE MACHAFUKO, RAISI WAKE PIERRE NKURUNZINZA AONEKANA AKISAKATA KABUMBU
![](http://4.bp.blogspot.com/-_bXFfyOXkaw/VV39FdUbY0I/AAAAAAAABmc/pROPylkKKzY/s400/_83143336_027306034-1.jpg)
![nziza](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/nziza.jpg?resize=439%2C247)
![pier](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/pier.jpg?resize=441%2C248)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-reT7fSF_m-k/VVSPH6dRZmI/AAAAAAAHXRs/ObkeLAYa93E/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-14%2Bat%2B2.56.00%2BPM.png)
MARAIS WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WALAANI JARIBIO LA KUPINDULIWA KWA RAIS NKURUNZINZA - MEMBE
Na Chalila Kibuda,
Globu ya Jamii
MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamelaani kitendo cha baadhi ya askari kufanya jaribio la kutaka kuipindua serikali ya Burundi.Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam leo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe amesema kuwa hali ya Burundi ni tete na kwamba japo linaonekana ni jambo dogo lakini linaweza kugharimu maisha ya watu.
"Hivyo tunatakiwa tuvute subira...Tusubiri na sio kulitangaza suala hilo...
Globu ya Jamii
MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamelaani kitendo cha baadhi ya askari kufanya jaribio la kutaka kuipindua serikali ya Burundi.Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam leo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe amesema kuwa hali ya Burundi ni tete na kwamba japo linaonekana ni jambo dogo lakini linaweza kugharimu maisha ya watu.
"Hivyo tunatakiwa tuvute subira...Tusubiri na sio kulitangaza suala hilo...
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.
10 years ago
Michuzi10 Jun
10 years ago
VijimamboMWANAHARAKATI WA BURUNDI AOMBA MKUTANO WA KESHO WA MARAISI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KUTOMRUHUSU RAIS NKURUNZIZA KUTOGOMBEA MUHULA WA TATU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3iiVCO-kzIeGLsUSV*ZUn6Rp4unmXfIbLRadgfCbxXOt6xFCLxLDnaB-zaHJUIeC0nFo2sEpnlVfmQj21tgEHyhP/2204190102.jpg?width=640)
PIERRE NKURUNZIZA AREJEA NYUMBANI
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza akirejea nchini mwake baada kushindikana kwa jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali yake alipokuwa nchini Tanzania kuhudhuria kikao cha viongozi wa EAC. Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani hapo jana, baada ya kuwepo kwa jaribio la kumpindua akiwa nchini Tanzania kuhudhuria kikao cha viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki waliokuwa wakijadili mgogoro wa Burundi. Maafisa wa...
5 years ago
CCM Blog26 Jun
PIERRE NKURUNZIZA KUZIKWA LEO
![Pierre Nkurunziza](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/D39D/production/_112837145_mediaitem112837144.jpg)
10 years ago
BBCSwahili15 May
Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani
Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani hapo jana, baada ya kuwepo kwa jaribio la kumpindua akiwa nchini Tanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania