MWANAHARAKATI WA BURUNDI AOMBA MKUTANO WA KESHO WA MARAISI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KUTOMRUHUSU RAIS NKURUNZIZA KUTOGOMBEA MUHULA WA TATU
Mwenyekiti wa Chama cha UPD-Zigamimbaga, ambaye pia ni mwanaharakati wa vuguvugu la maandamano nchini Burundi, Mugwengezo Chauvineau.
Mwenyekiti wa Chama cha UPD-Zigamimbaga, ambaye pia ni mwanaharakati wa vuguvugu la maandamano nchini Burundi, Mugwengezo Chauvineau (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mvutano wa kisiasa dhidi ya rais wa nchi hiyo ambapo amewataka viongozi wa nchi za Afrika Mashariki wanaokutana leo jijini Dar es Salaam...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-15zEC780sLc/VXfscPFBxFI/AAAAAAADq8g/UK6y37W01iY/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA TATU WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI YA UTATU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-15zEC780sLc/VXfscPFBxFI/AAAAAAADq8g/UK6y37W01iY/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FpaHCCBf4d8/VXcXQLG0DwI/AAAAAAAHdZc/85qWohvY9gs/s72-c/4.jpg)
DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA TATU WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI YA UTATU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC).
![](http://3.bp.blogspot.com/-FpaHCCBf4d8/VXcXQLG0DwI/AAAAAAAHdZc/85qWohvY9gs/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ldM6gS3b6Gw/VXcXQGGMhyI/AAAAAAAHdZg/9z0IhFFiBik/s640/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Uchukuzi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--YoYHGFhUGo/U2DhGPWtTJI/AAAAAAAFeHc/VSOVndhooxs/s72-c/kikwete+na+uhuru.jpg)
Rais Kikwete ahudhuria Mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/--YoYHGFhUGo/U2DhGPWtTJI/AAAAAAAFeHc/VSOVndhooxs/s1600/kikwete+na+uhuru.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eLy3X1gRjOo/U2DhGkkt4xI/AAAAAAAFeHY/QldNgcP93u8/s1600/marais.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-c5TD0fjOhtk/U2UTaUBiGHI/AAAAAAAFfMI/wpOteJtrzmM/s72-c/unnamed+(4).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AMWAKILISHA RAIS KIKIWETE KWENYE MKUTANO WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI -NAIROBI
![](http://2.bp.blogspot.com/-c5TD0fjOhtk/U2UTaUBiGHI/AAAAAAAFfMI/wpOteJtrzmM/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HfULSMZVqrw/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Rais Nkurunziza aomba utulivu Burundi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E5fQ5YM7DN8/ViIP3yhiwkI/AAAAAAAIAhg/gzUTyq1s5t8/s72-c/New%2BPicture.bmp)
WAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KUWASILI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-E5fQ5YM7DN8/ViIP3yhiwkI/AAAAAAAIAhg/gzUTyq1s5t8/s1600/New%2BPicture.bmp)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKUNDI la waangalizi wa uchaguzi Mkuu nchini Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, wanatarajia kuwasili Dar es Salaam Jumapili, tarehe 18 October 2015 tayari kwa uangalizi wa uchaguzi kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Kuwasili kwa kundi la Jumuiya ya Afrika Mashariki lenye takribani watu hamsini na tano, ni kuitikia mwaliko kutoka kwa Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Biashara kutoka Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Abdulla Makame Akiwaeleza waandishi wa Habari(hawapo pichani) Kuhusu Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Septemba 20 mwaka huu Jijini Arusha. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara hiyo Anthony Ishengoma.(Picha na Hassan Silayo).
Frank Mvungi- Maelezo
Mkutano wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya...