Wajue wasanii watano wenye ushawishi mkubwa Africa kwa mwaka 2015… Mtanzania yupo mmoja tu!
Nimekutana na jarida la New African Magazine toleo ya December 2015 na ndani ya jarida hilo nikakutana na list ya watu waliotajwa kama watu wenye ushawishi mkubwa zaidi Africa kwa mwaka huu wa 2015… kwa upande wa burudani nimekutana na mastaa watano huku Mtanzania akiwemo mmoja tu! Hawa ndio Africa Most Influencial Africans in Media, […]
The post Wajue wasanii watano wenye ushawishi mkubwa Africa kwa mwaka 2015… Mtanzania yupo mmoja tu! appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAJUE KWA UNDANI WAGOMBEA WATANO WALIOPITISHWA NA KAMATI KUU (CC)
1: BENARD MEMBE
Benard Kamillius Membe ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, alizaliwa tarehe 09 Novemba 1953, katika Kijiji cha Rondo-Chiponda, Wilaya ya Lindi Vijijini.
Membe ana shahada ya kwanza ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma na ana shahada ya umahiri ya Uhusiano wa Kimataifa.
Membe aliajiriwa kwenye Ofisi ya Rais na kufanya kazi kwa miaka 6 kabla hajaanza shahada ya kwanza na baadaye alirudi vyuoni kusoma na kuhitimu...
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
Wewe ni msanii mwenye mawazo ya kuja kufanya collabo na wasanii wa nje ya Tanzania? AY ametoa elimu ndogo kupitia uzoefu wake, wa nini cha kufanya ili collabo yako iwe na maana na ikuletee matunda. “Cha kwanza watu wajue lazima uje na style yako usikae kama wanna be” AY a.k.a ‘mzee wa Zigo’ ameiambia 255 […]
10 years ago
VijimamboNGOMA AFRICA BAND NA MZIMU WAO WA MZIKI WA DANSI ! WENYE MVUTO MKUBWA BARANI ULAYA
Bendi maarufu ya mziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band,ni bendi ya kwanza ya kiafrika iliyojiwekea nafasi ya pekee katika nyoyo za washabiki uko ughaibuni.Bendi hiyo ambayo imetajwa kuwa ndio bendi ya kwanza ya kiafrika kutumia muziki wake kutoka uswahilini kama daraja la kuwafikia washabiki wake katika kona zote duniani,pia imetajwa na vianzo vya habari vya kimataifa kuwa mdundo wa mziki wake umekuwa ni urimbo unao wanasa na kuwatia kiwewe washabiki, popote pale duniani.Bendi ya...
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani
Jarida la Forbes limetoa orodha ya watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani, huku Rais wa Marekani Barack Obama akiondolewa kutoka nafasi ya pili.
11 years ago
GPLWAJUE WATU 10 WENYE NGUVU TANZANIA
KWA muda wa miezi miwili , magazeti ya Global Publishers Ltd yaliendesha zoezi la kuwashirikisha wasomaji wake juu ya mtu gani mwenye nguvu zaidi ya ushawishi katika jamii ya Watanzania. Rais Jakaya Kikwete. Jumla ya Watanzania 438,726 walipiga kura kupendekeza majina mbalimbali. Watu 10 waling’ara zaidi kwa kugawana jumla ya kura asilimia 97.4, huku wengine ambao hawakuweza kuchomoza wakiambulia mgawo wa asilimia 2.6.
...
10 years ago
Africanjam.ComORODHA YA WATU 50 WENYE USHAWISHI ZAIDI LIGI YA UINGEREZA
Jarida la Sportsmail kuamkia jana wametaja majina ya watu 50 wenye ushawishi zaidi katika ligi kuu ya Uingereza EPL, cheki orodha yenyewe hapa chini.50 Steven Gerrard, 49 Peter Ridsdale, 48 Didier Drogba, 47 Karren Brady, 46 Philip Don, 45 Sol Campbell, 44 Gary Lineker, 43 Carlos Tevez,
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania