Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ORODHA YA WATU 50 WENYE USHAWISHI ZAIDI LIGI YA UINGEREZA


Jarida la Sportsmail kuamkia jana wametaja majina ya watu 50 wenye ushawishi zaidi katika ligi kuu ya Uingereza EPL, cheki orodha yenyewe hapa chini.50 Steven Gerrard, 49 Peter Ridsdale, 48 Didier Drogba, 47 Karren Brady, 46 Philip Don, 45 Sol Campbell, 44 Gary Lineker, 43 Carlos Tevez, 

Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani

Jarida la Forbes limetoa orodha ya watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani, huku Rais wa Marekani Barack Obama akiondolewa kutoka nafasi ya pili.

 

9 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kwenye orodha ya jarida la ‘New Afrika’ ya Waafrika 100 wenye ushawishi – 2015

12145468_167840286899533_172237616_n

Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya kila mwaka ya jarida la New Africa lenye makao yake jijini London, Uingereza ya Waafrika 100 wenye ushawishi zaidi mwaka 2015.

12144171_992371684172114_1315042514_n

Orodha hiyo hujumuisha Waafrika waliofanya mambo makubwa kwenye sekta nane zikiwemo Siasa (22); Public Office (4); Sanaa na Utamaduni (21); Biashara (21); Civil Society (11); Technology (9); Media (7); and Sports (5).

Nigeria na Afrika Kusini imetawala orodha hiyo kwa kuwa na watu 20 na 16. Kenya, Uganda na Cameroon zina...

 

10 years ago

Africanjam.Com

ORODHA YA WACHEZAJI WALIOTEMWA NA TIMU ZAO LIGI YA UINGEREZA


Mchezaji wa Manchester United, Tom Cleverley ni miongoni mwa majina makubwa yaliyotangazwa kuachwa katika orodha ya ligi kuu England.Kwa taratibu za ligi kuu England, msimu ukishamalizika, timu zinatakiwa kuwasilisha majina ya wachezaji itakaowatema kuelekea msimu mpya.Baada ya kumalizika kwa msimu wa 2014/2015, wachezaji waliotangazwa kuachwa na baadhi ya timu za England hawa hapa;
PREMIER LEAGUE RELEASED LIST FOR 2014-15 
ArsenalAbou Diaby, Jack Jebb, Oluwasemilogo Adesewo Ajayi,Austin...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond aongoza orodha ya mastaa wanaoishi Afrika wenye followers wengi zaidi Instagram

1663203_863176703798731_1287169950_n

Diamond Platnumz si tu msanii aliyechukua tuzo kubwa zaidi kuliko wasanii wote wa Afrika mwaka huu (MTV EMA – Best Worldwide Act: Africa/India), bali pia ndiye msanii anayeishi barani Afrika mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram kwa sasa.

1663203_863176703798731_1287169950_n

Awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii wa Nigeria, Davido.

Hata hivyo orodha ya mastaa waliofikisha followers milioni moja imeongozwa na watanzania.

Hii ni orodha kamili kwa mujibu wa namba za December, 29.

1. Diamond...

 

11 years ago

Michuzi

WATU ZAIDI YA 60 WENYE UHITAJI WASAIDIWA NA ASASI YA LADIES CIRCLE

ZAIDI ya watu  60 wenye  uhitaji  wamewezeshwa na asasi  isiyo ya kiserikali ya Ladies Circle International katika mahitaji mbalimbali ikiwemo elimu, matibabu ,malazi pamoja na mitaji  .
Hayo yalisemwa  na Rais wa asasi hiyo  hapa Tanzania ,Julieth Anthony wakati akizungumza katika uzinduzi rasmi wa asasi hiyo uliofanyika mjini hapa hivi karibuni.

Alisema kuwa , asasi hiyo ilianza kufanya kazi hapa nchini mwaka 2012 ambapo ina jumla ya matawi matatu kwa nchi nzima ,huku asasi hiyo ikiwa...

 

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA


Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii

UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu  Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.

Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano Uingereza: Zaidi ya watu 100 wamekamatwa baada ya kutokea vurugu jijini London

Polisi walivamiwa na waandamanaji, ambao wengine walikuwa wanaharakati wa mrengo wa kulia baada ya maelfu yao waliokuwa wamekusanyika kusema kuwa wanalinda masanamu yasiharibiwe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani