Diamond atajwa kwenye orodha ya jarida la ‘New Afrika’ ya Waafrika 100 wenye ushawishi – 2015
Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya kila mwaka ya jarida la New Africa lenye makao yake jijini London, Uingereza ya Waafrika 100 wenye ushawishi zaidi mwaka 2015.
Orodha hiyo hujumuisha Waafrika waliofanya mambo makubwa kwenye sekta nane zikiwemo Siasa (22); Public Office (4); Sanaa na Utamaduni (21); Biashara (21); Civil Society (11); Technology (9); Media (7); and Sports (5).
Nigeria na Afrika Kusini imetawala orodha hiyo kwa kuwa na watu 20 na 16. Kenya, Uganda na Cameroon zina...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo526 Nov
Flaviana Matata na Gado watajwa miongoni mwa Waafrika wenye ushawishi 2014
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-IrnuzhyLNCw/VY1X2bcyP8I/AAAAAAAACQ4/eqz6-OIpx8w/s72-c/filepicker.jpg)
ORODHA YA WATU 50 WENYE USHAWISHI ZAIDI LIGI YA UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IrnuzhyLNCw/VY1X2bcyP8I/AAAAAAAACQ4/eqz6-OIpx8w/s400/filepicker.jpg)
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday...
9 years ago
Bongo511 Dec
‘Ojuelegba’ ya Wizkid yashika namba 12 kwenye orodha ya nyimbo 107 bora za Jarida la FADER la UK
![wizkk](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/wizkk-300x194.jpg)
Jarida la FADER limetoa orodha yake ya nyimbo 107 bora kwa mwaka 2015, na kutolea maelezo kwenye kila wimbo ya sababu za wao kuuchagua.
Wimbo wa wizkid ‘Ojuelegba’ umeingia kwenye nafasi ya 12, huku juu yake nafasi ya 11 ipo ‘Alright’ ya Kendrick Lamar na chini yake namba 13 ni ‘Comma’ ya Future.
Hii ni nafasi ya 1 hadi 13:
1. Skrillex and Diplo f. Justin Bieber, “Where Are Ü Now”
2. Rihanna, Kanye West, and Paul McCartney, “FourFiveSeconds”
3. Jamie xx f. Young Thug and Popcaan, “I Know...
9 years ago
Bongo529 Dec
Diamond aongoza orodha ya mastaa wanaoishi Afrika wenye followers wengi zaidi Instagram
![1663203_863176703798731_1287169950_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1663203_863176703798731_1287169950_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz si tu msanii aliyechukua tuzo kubwa zaidi kuliko wasanii wote wa Afrika mwaka huu (MTV EMA – Best Worldwide Act: Africa/India), bali pia ndiye msanii anayeishi barani Afrika mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram kwa sasa.
Awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii wa Nigeria, Davido.
Hata hivyo orodha ya mastaa waliofikisha followers milioni moja imeongozwa na watanzania.
Hii ni orodha kamili kwa mujibu wa namba za December, 29.
1. Diamond...
10 years ago
Bongo504 Sep
Diamond atajwa kuwania vipengele 4 kwenye tuzo za CHOAMVA 2014
9 years ago
Bongo518 Nov
Picha: Sauti Sol watoa orodha ya nyimbo za album yao mpya ‘Live And Die In Afrika’
![Sauti-Sols-Album-Cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Sauti-Sols-Album-Cover-300x194.jpg)
Kundi maarufu la muziki Sauti Sol kutoka Kenya, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wao kwa single kama ‘Sura Yako’, ‘Nerea’ na ‘Isabella’, sasa wako tayari kuwapakulia album kamili yenye nyimbo 15.
Sauti Sol jana walitoa cover ya album hiyo mpya ‘Live And Die In Afrika’ na baadae kushare orodha ya nyimbo zinazokamilisha album hiyo ikiwa ni album yao ya tatu.
Kwa mujibu wa cover hiyo, ni nyimbo mbili tu kwenye album hiyo ambazo wameshirikisha wasanii wengine, ambazo ni ‘Nerea’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wib7New*847-JOg-2UDNG-0wHBUi7HBS2YnoDg8K6B3UoHNnvxSnSJ6rp25IxW4YvptAmwvG82susc5jD-if11fsyzd8dKXu/10985052_855964467785728_8284829864472226266_n.jpg?width=650)
DIAMOND PLATINUMZ ATAJWA KUWANIA NEA AWARDS 2015 NCHINI NIGERIA
10 years ago
Bongo528 Feb
Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards