‘Ojuelegba’ ya Wizkid yashika namba 12 kwenye orodha ya nyimbo 107 bora za Jarida la FADER la UK
Jarida la FADER limetoa orodha yake ya nyimbo 107 bora kwa mwaka 2015, na kutolea maelezo kwenye kila wimbo ya sababu za wao kuuchagua.
Wimbo wa wizkid ‘Ojuelegba’ umeingia kwenye nafasi ya 12, huku juu yake nafasi ya 11 ipo ‘Alright’ ya Kendrick Lamar na chini yake namba 13 ni ‘Comma’ ya Future.
Hii ni nafasi ya 1 hadi 13:
1. Skrillex and Diplo f. Justin Bieber, “Where Are Ü Now”
2. Rihanna, Kanye West, and Paul McCartney, “FourFiveSeconds”
3. Jamie xx f. Young Thug and Popcaan, “I Know...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo513 Nov
R.Kelly atoa orodha ya nyimbo na cover ya album yake mpya ambayo Wizkid pia kashirikishwa
![r.kelly buffet](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/r.kelly-buffet-300x194.jpg)
Mfalme wa Rnb duniani Robert Kelly maarufu kama R.Kelly yuko mbioni kuachia album yake mpya na ya 13 aliyoipa jina la ‘The Buffet’ kabla mwaka haujaisha.
Album hiyo yenye jumla ya nyimbo 15 inatarajiwa kutoka December 11.
Hii ndio album ambayo Wizkid alizungumzia alipokuja Tanzania hivi karibuni, kuwa R.Kelly alimpigia simu na kumuomba amshirikishe kwenye wimbo utakaokuwemo kwenye album yake (Ingia hapa). Wimbo ambao kashirikishwa Wizkid unaitwa ‘I Just Want to Thank You’.
Wasanii wengine...
10 years ago
Michuzi19 May
9 years ago
Bongo530 Oct
‘Game’ ya Navy Kenzo yashika namba 1 kwenye Top 10 ya Trace Urban
![game2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/game2-94x94.png)
9 years ago
Bongo520 Nov
Wizkid talks about his global success in Fader Magazine
![Wizkid5](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Wizkid5-300x194.jpg)
Wizkid has been interviewed by international magazine FADER.
In the interview with FADER, the Starboy CEO talks about his numerous collaborations including writing with ColdPlay’s Chris Martin on a song for Rihanna, a collaboration with Tinie Tempah, an unreleased song called “African Bad Girl” withChris Brown and more.
See excerpts from his interview below.
On ‘Ojuelegba’: I knew it was a good song but I didn’t expect it to blow up the way that it did. My parents still live there. We have...
9 years ago
Bongo526 Nov
Diamond atajwa kwenye orodha ya jarida la ‘New Afrika’ ya Waafrika 100 wenye ushawishi – 2015
![12145468_167840286899533_172237616_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12145468_167840286899533_172237616_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya kila mwaka ya jarida la New Africa lenye makao yake jijini London, Uingereza ya Waafrika 100 wenye ushawishi zaidi mwaka 2015.
Orodha hiyo hujumuisha Waafrika waliofanya mambo makubwa kwenye sekta nane zikiwemo Siasa (22); Public Office (4); Sanaa na Utamaduni (21); Biashara (21); Civil Society (11); Technology (9); Media (7); and Sports (5).
Nigeria na Afrika Kusini imetawala orodha hiyo kwa kuwa na watu 20 na 16. Kenya, Uganda na Cameroon zina...
9 years ago
Bongo521 Sep
Hemedy PHD atoa orodha ya nyimbo 18 zitakazokuwepo kwenye album yake ya ‘Virgo’
9 years ago
Bongo529 Oct
Justin Bieber atoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Purpose’
10 years ago
Vijimambo23 Jun
TANZANIAN RESTAURANT - LUNCH BY CHEF ISSA IMETAJWA KWENYE ORODHA YA MIGAHAWA BORA KATIKA MIJI YA TROLLHÄTTAN NA VÄNERSBORG
![IMG-20150616-WA0008](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150616-WA0008.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Tanzanian Restaurant — Lunch by Chef Issa imetajwa kwenye orodha ya migahawa bora katika miji ya Trollhättan na Vänersborg
Jarida la Wizara ya Maliasili Makumbusho na Utalii katika mji wa Trollhättan na Vänersborg limeijumuisha Tanzanian Restaurant – Lunch by chef Issa kwenye orodha ya migahawa bora katika miji hiyo miwili ni jambo la kujivunia hasa mafanikio haya ndani ya miezi miwili tangu kufunguliwa
Jarida la makala ya biashara na uwekezaji la Fokus Väst la mji wa Trollhättan Sweden limethibitisha rasmi nakujivunia Tanzanian Restaurant – Lunch by chef Issa kua ni mgahawa halisi wa kiafrika mkubwa kuliko...