Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ojuelegba’ ya Wizkid yashika namba 12 kwenye orodha ya nyimbo 107 bora za Jarida la FADER la UK

wizkk

Jarida la FADER limetoa orodha yake ya nyimbo 107 bora kwa mwaka 2015, na kutolea maelezo kwenye kila wimbo ya sababu za wao kuuchagua.

wizkk

Wimbo wa wizkid ‘Ojuelegba’ umeingia kwenye nafasi ya 12, huku juu yake nafasi ya 11 ipo ‘Alright’ ya Kendrick Lamar na chini yake namba 13 ni ‘Comma’ ya Future.

Hii ni nafasi ya 1 hadi 13:

1. Skrillex and Diplo f. Justin Bieber, “Where Are Ü Now”
2. Rihanna, Kanye West, and Paul McCartney, “FourFiveSeconds”
3. Jamie xx f. Young Thug and Popcaan, “I Know...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

R.Kelly atoa orodha ya nyimbo na cover ya album yake mpya ambayo Wizkid pia kashirikishwa

r.kelly buffet

Mfalme wa Rnb duniani Robert Kelly maarufu kama R.Kelly yuko mbioni kuachia album yake mpya na ya 13 aliyoipa jina la ‘The Buffet’ kabla mwaka haujaisha.

r.kelly buffet

Album hiyo yenye jumla ya nyimbo 15 inatarajiwa kutoka December 11.

Hii ndio album ambayo Wizkid alizungumzia alipokuja Tanzania hivi karibuni, kuwa R.Kelly alimpigia simu na kumuomba amshirikishe kwenye wimbo utakaokuwemo kwenye album yake (Ingia hapa). Wimbo ambao kashirikishwa Wizkid unaitwa ‘I Just Want to Thank You’.

Wasanii wengine...

 

9 years ago

Bongo5

‘Game’ ya Navy Kenzo yashika namba 1 kwenye Top 10 ya Trace Urban

game2‘Game’ ya Navy Kenzo wakiwa wamemshirikisha Vee Money inazidi kuthibitisha kuwa ndio imekuwa ufunguo wa mafanikio ya kundi hilo kimataifa, kwa kuendelea kufanya vizuri kwenye chati mbalimbali za vituo vikubwa Afrika na nje. Baada ya kuingia na kufika hadi namba 1 kwenye chati za vituo vikubwa kama MTV Base na Soundcity Tv ya Nigeria, video […]

 

9 years ago

Bongo5

Wizkid talks about his global success in Fader Magazine

Wizkid5

Wizkid has been interviewed by international magazine FADER.

wizkid-7

In the interview with FADER, the Starboy CEO talks about his numerous collaborations including writing with ColdPlay’s Chris Martin on a song for Rihanna, a collaboration with Tinie Tempah, an unreleased song called “African Bad Girl” withChris Brown and more.

See excerpts from his interview below.

On ‘Ojuelegba’: I knew it was a good song but I didn’t expect it to blow up the way that it did. My parents still live there. We have...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kwenye orodha ya jarida la ‘New Afrika’ ya Waafrika 100 wenye ushawishi – 2015

12145468_167840286899533_172237616_n

Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya kila mwaka ya jarida la New Africa lenye makao yake jijini London, Uingereza ya Waafrika 100 wenye ushawishi zaidi mwaka 2015.

12144171_992371684172114_1315042514_n

Orodha hiyo hujumuisha Waafrika waliofanya mambo makubwa kwenye sekta nane zikiwemo Siasa (22); Public Office (4); Sanaa na Utamaduni (21); Biashara (21); Civil Society (11); Technology (9); Media (7); and Sports (5).

Nigeria na Afrika Kusini imetawala orodha hiyo kwa kuwa na watu 20 na 16. Kenya, Uganda na Cameroon zina...

 

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD atoa orodha ya nyimbo 18 zitakazokuwepo kwenye album yake ya ‘Virgo’

Baada ya kuahidi kuachia album yake ya kwanza ‘Virgo’ mwezi February 2016, Hemedy PHD ameshare na mashabiki wake orodha ya majina ya nyimbo zitakazokuwepo katika album hiyo. Mwimbaji huyo ambaye pia ni mwigizaji anatarajia kuachia single mbili mpya kwa mpigo ‘MEMORIES’ na ‘SOME DAY’ siku chacahe zijazo. Hii ndio orodha ya nyimbo za album ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Justin Bieber atoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Purpose’

Akiwa ameshatoa nyimbo mbili (What Do You Mean & Sorry) kutoka kwenye album yake mpya ‘Purpose’ ambayo itatoka mwezi Ujao, mshindi wa tuzo 5 za MTV EMA, Justin Bieber ametoa orodha ya nyimbo 19 zitakazokuwemo kwenye album hiyo. Wasanii aliowashirikisha kwenye baadhi ya nyimbo hizo ni pamoja na Nas, Big Sean, Travis Scott, Ariana Grande […]

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIAN RESTAURANT - LUNCH BY CHEF ISSA IMETAJWA KWENYE ORODHA YA MIGAHAWA BORA KATIKA MIJI YA TROLLHÄTTAN NA VÄNERSBORG

Jarida la Wizara ya Maliasili Makumbusho na Utalii katika mji wa Trollhättan na Vänersborg limeijumuisha Tanzanian Restaurant - Lunch by chef Issa kwenye orodha ya migahawa bora katika miji hiyo miwili ni jambo la kujivunia hasa mafanikio haya ndani ya miezi miwili tangu kufunguliwaIMG-20150616-WA0008Jarida la makala ya biashara na uwekezaji la Fokus Väst la mji wa Trollhättan Sweden limethibitisha rasmi nakujivunia Tanzanian Restaurant - Lunch by chef Issa kua ni mgahawa halisi wa kiafrika mkubwa kuliko yote...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzanian Restaurant — Lunch by Chef Issa imetajwa kwenye orodha ya migahawa bora katika miji ya Trollhättan na Vänersborg

Jarida la Wizara ya Maliasili Makumbusho na Utalii katika mji wa Trollhättan na Vänersborg limeijumuisha Tanzanian Restaurant – Lunch by chef Issa kwenye orodha ya migahawa bora katika miji hiyo miwili ni jambo la kujivunia hasa mafanikio haya ndani ya miezi miwili tangu kufunguliwa

IMG-20150616-WA0008

Jarida la makala ya biashara na uwekezaji la Fokus Väst la mji wa Trollhättan Sweden limethibitisha rasmi nakujivunia Tanzanian Restaurant – Lunch by chef Issa kua ni mgahawa halisi wa kiafrika mkubwa kuliko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani