Marehemu Mh. Elly Macha aagwa rasmi
Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa pamoja na wabunge mbalimbali wameshiriki kuuaga mwili wa aliyekua mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Dkt Elly Macha, aliyefariki nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu.
Mwili huo umewasili alfajiri leo, katika uwanja wa Mwalimu Nyerere ambapo mapokezi yaliongozwa na Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson na kusafirishwa tena mpaka Dodoma ambapo viongozi wa bunge wamepata fursa ya kuuaga Mheshimiwa Macha kwenye viwanja...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bcAy7o_O9_I/U87BhaKPqmI/AAAAAAAF4zc/S1OBpgFijHk/s72-c/e7d84f8a303d24b1035843c2a1b80eb6.jpg)
Ratiba ya mazishi ya marehemu mzee john fedha macha dar es salaam na moshi
![](http://1.bp.blogspot.com/-bcAy7o_O9_I/U87BhaKPqmI/AAAAAAAF4zc/S1OBpgFijHk/s1600/e7d84f8a303d24b1035843c2a1b80eb6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s72-c/2.jpg)
MAREHEMU GEORGE TYSON AAGWA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s1600/2.jpg)
Sehemu ya Wacheza Filamu nchini waliokuwa wamebeba Jeneza lenye Mwili wa Marehemu George Otieno Okomu (George Tyson) wakijipanga tayari kwa akili ya kuongoza shughuli ya Kuga mwili iliyofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club,Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.Mwili huo umesafirishwa kupelekwa nchini Kenya ambako ni nyumbani kwao na Marehemu kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika Jumamosi ijayo baada ya kukamiliza kwa mipango yote.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BjNfoqMXnVM/U48_nmB1WGI/AAAAAAAFnkA/JnGKD_1GAss/s1600/29.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Saddick...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iWRagpebYlo/U_pCObwzXZI/AAAAAAAGCFs/O0TdiWqwWKc/s72-c/IMG-20140816-WA0001%2B(1).jpg)
MAREHEMU LUCIA KIBUSI AAGWA BOSTON, MASSACHUSETTS NCHINI MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-iWRagpebYlo/U_pCObwzXZI/AAAAAAAGCFs/O0TdiWqwWKc/s1600/IMG-20140816-WA0001%2B(1).jpg)
11 years ago
Habarileo16 Feb
IGP wa zamani aagwa rasmi
MKUU wa Jeshi la Polisi mstaafu (IGP), Said Mwema ameagwa rasmi jana jijini Dar es Salaam, huku akiwataka wananchi kumpa ushirikiano Mkuu mpya wa Polisi, Ernest Mangu katika kukabiliana na uhalifu mpya.
11 years ago
GPLIGP MWEMA AAGWA RASMI LEO
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-H4AwGtNoboI/Vg8T90TVk_I/AAAAAAAH8eg/TnoN3DUhmfg/s72-c/IMGS0348.jpg)
JK AAGWA RASMI NA TANZANIA PRIVATE SECTOR FOUNDATION
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4AwGtNoboI/Vg8T90TVk_I/AAAAAAAH8eg/TnoN3DUhmfg/s640/IMGS0348.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vztNqtHV60Q/Vg8T9qcwCkI/AAAAAAAH8eY/sZxTl7TvNls/s640/IMGS0353.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lnnJSNT0Hjc/Vg8T98pciSI/AAAAAAAH8ec/BxVANk5eWjo/s640/IMGS0356.jpg)
10 years ago
MichuziMstaafu CAG kutuzwa; Aagwa rasmi na Ikulu
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R3HnWu5h4KE/U4dCF7UmDjI/AAAAAAAFmJ8/OWTlhZVHJdI/s72-c/01.jpg)
Marehemu Sheila Leo Haule (Rachel) aagwa leo jijini dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-R3HnWu5h4KE/U4dCF7UmDjI/AAAAAAAFmJ8/OWTlhZVHJdI/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BZdOCUHAQkg/U4dCJNUytfI/AAAAAAAFmKE/WeItRRImpKU/s1600/16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dy4RKpcAagI/U4dCQsUvdDI/AAAAAAAFmKM/ovue1sfnb-c/s1600/18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OrYcXN2h1n8/U4dChWdcK4I/AAAAAAAFmK8/MF7lbvU7eLA/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vVz2Ye8cpFY/U4dChM3aHBI/AAAAAAAFmKs/hkKtE3U_Kd4/s1600/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-E5IKVzIdM7M/U4dCqBf6xII/AAAAAAAFmLU/o-_huLZTlvI/s1600/25.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SOQTkawxnlE/U4dCrKy7QhI/AAAAAAAFmLc/e775r12DgKU/s1600/26.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Waziri William Lukuvi aagwa rasmi shirika la Nyumba la Taifa !
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokea ngao yenye picha ya chui ikiwa ni ishara ya tuzo ya Shirika la Nyumba la Taifa kwa Waziri huyo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu kwa kuonyesha utendaji uliokuwa wa kasi usiochoka wakati Waziri Lukuvi alipotembelea katika Shirika hilo kuaga rasmi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokea ngao yenye picha ya chui ikiwa ni ishara ya tuzo ya...