IGP wa zamani aagwa rasmi
MKUU wa Jeshi la Polisi mstaafu (IGP), Said Mwema ameagwa rasmi jana jijini Dar es Salaam, huku akiwataka wananchi kumpa ushirikiano Mkuu mpya wa Polisi, Ernest Mangu katika kukabiliana na uhalifu mpya.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLIGP MWEMA AAGWA RASMI LEO
5 years ago
Bongo514 Feb
Marehemu Mh. Elly Macha aagwa rasmi
Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa pamoja na wabunge mbalimbali wameshiriki kuuaga mwili wa aliyekua mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Dkt Elly Macha, aliyefariki nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu.
Mwili huo umewasili alfajiri leo, katika uwanja wa Mwalimu Nyerere ambapo mapokezi yaliongozwa na Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson na kusafirishwa tena mpaka Dodoma ambapo viongozi wa bunge wamepata fursa ya kuuaga Mheshimiwa Macha kwenye viwanja...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-H4AwGtNoboI/Vg8T90TVk_I/AAAAAAAH8eg/TnoN3DUhmfg/s72-c/IMGS0348.jpg)
JK AAGWA RASMI NA TANZANIA PRIVATE SECTOR FOUNDATION
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4AwGtNoboI/Vg8T90TVk_I/AAAAAAAH8eg/TnoN3DUhmfg/s640/IMGS0348.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vztNqtHV60Q/Vg8T9qcwCkI/AAAAAAAH8eY/sZxTl7TvNls/s640/IMGS0353.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lnnJSNT0Hjc/Vg8T98pciSI/AAAAAAAH8ec/BxVANk5eWjo/s640/IMGS0356.jpg)
10 years ago
MichuziMstaafu CAG kutuzwa; Aagwa rasmi na Ikulu
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Mkurugenzi mkuu mstaafu wa NHIF Bw. Emmanuel Humba aagwa rasmi
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua mchango wake akiwa mwanzilishi wa mfuko huo wakati wa hafla ya kuwaaga viongozi na wafanyakazi wastaafu iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee mwishoni mwa wiki , Mzee Emannuel Humba aliwaasa wafanyakazi wa mfuko huo kushikamana na kufanya kazi kwa kujituma ili kuhakikisha mfuko huo unafikia malengo, Katika hafla hiyo Emanuel Humba pia...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Waziri William Lukuvi aagwa rasmi shirika la Nyumba la Taifa !
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokea ngao yenye picha ya chui ikiwa ni ishara ya tuzo ya Shirika la Nyumba la Taifa kwa Waziri huyo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu kwa kuonyesha utendaji uliokuwa wa kasi usiochoka wakati Waziri Lukuvi alipotembelea katika Shirika hilo kuaga rasmi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokea ngao yenye picha ya chui ikiwa ni ishara ya tuzo ya...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni wa WHUSM Profesa Hermas Mwansoko aagwa rasmi
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/237.jpg)
MKURUGENZI MKUU MSTAAFU WA NHIF BW. EMMANUEL HUMBA AAGWA RASMI