Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IGP MWEMA AAGWA RASMI LEO

Kutoka kulia IGP, Ernest Mangu, katikati ni IGP mstaafu Said Mwema na kulia ni Kaimu mkuu wa jeshi la Abrahaman Kaniki. Mkuu wa Jeshi la Polisi mstaafu Said Mwema akishuka kwenye gari maalum kama inavyoonekana pichani.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

IGP wa zamani aagwa rasmi

MKUU wa Jeshi la Polisi mstaafu (IGP), Said Mwema ameagwa rasmi jana jijini Dar es Salaam, huku akiwataka wananchi kumpa ushirikiano Mkuu mpya wa Polisi, Ernest Mangu katika kukabiliana na uhalifu mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAU yamkaribisha IGP Mwema

CHAMA cha Sauti ya Umma (SAU), kimemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini  mstaafu, IGP Said Mwema kujiunga na chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nenda IGP Mwema na mikono iliyojaa damu

INSPEKTA Jenerali wa zamani wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema, amestaafu. Ameacha kiti kinachobubujika damu ya wanyonge. Ameondoka na mikono iliyojaa damu ya wasio na hatia. Wasio na...

 

5 years ago

Bongo5

Marehemu Mh. Elly Macha aagwa rasmi

Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa pamoja na wabunge mbalimbali wameshiriki kuuaga mwili wa aliyekua mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Dkt Elly Macha, aliyefariki nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu.

Mwili huo umewasili alfajiri leo, katika uwanja wa Mwalimu Nyerere ambapo mapokezi yaliongozwa na Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson na kusafirishwa tena mpaka Dodoma ambapo viongozi wa bunge wamepata fursa ya kuuaga Mheshimiwa Macha kwenye viwanja...

 

9 years ago

Vijimambo

JK AAGWA RASMI NA TANZANIA PRIVATE SECTOR FOUNDATION

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam kwa hafla maalum iliyoandaliwa kumuaga rasmi na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) usiku huu. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Dkt. Reginald Mengi katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam kwa hafla maalum iliyoandaliwa kumuaga rasmi na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) usiku huu.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na wadau alipowasili katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam...

 

10 years ago

Michuzi

Mstaafu CAG kutuzwa; Aagwa rasmi na Ikulu

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mstaafu, Bw. Ludovick Utouh (kulia), na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Juma Assad (kushoto), katika hafla ya kumpongeza na kumuaga Bw. Utouh iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro jijini Dar es Salaam,11 Desemba, 2014.Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue, juzi tarehe 11 Desemba 2014, alimuaga rasmi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani