Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAU yamkaribisha IGP Mwema

CHAMA cha Sauti ya Umma (SAU), kimemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini  mstaafu, IGP Said Mwema kujiunga na chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

IGP MWEMA AAGWA RASMI LEO

Kutoka kulia IGP, Ernest Mangu, katikati ni IGP mstaafu Said Mwema na kulia ni Kaimu mkuu wa jeshi la Abrahaman Kaniki. Mkuu wa Jeshi la Polisi mstaafu Said Mwema akishuka kwenye gari maalum kama inavyoonekana pichani.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nenda IGP Mwema na mikono iliyojaa damu

INSPEKTA Jenerali wa zamani wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema, amestaafu. Ameacha kiti kinachobubujika damu ya wanyonge. Ameondoka na mikono iliyojaa damu ya wasio na hatia. Wasio na...

 

10 years ago

Mwananchi

Sau, APPT kumuunga mkono urais Lowassa

Wakati vyama vinne vinavyounda Ukawa, vimempitisha Edward Lowassa kugombea urais, vyama vingine vya Sau na APPT-Maendeleo vimetangaza kumuunga mkono mgombea huyo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam FC yamkaribisha Singano

BAADA ya  Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) nchini kumuweka huru mchezaji Ramadhan Singano, uongozi wa klabu ya Azam umesema uko tayari kumsajili mchezaji huyo kama atapenda kuchezea timu hiyo.

Azam imekuwa ikihusishwa na kumsajili mchezaji huyo hata kabla ya kutamalizika  kwa suala lake hilo lililokuwa linahusu utata wa kimkataba na klabu yake ya Simba.

Mara nyingi  uongozi wa  Azam   ulikuwa ukikana taarifa za  kufanya mazungumzo na mchezaji huyo na kusema  kuwa hauwezi kumsajili...

 

9 years ago

Mwananchi

Azam yamkaribisha Magufuli rasmi

Azam imefanikiwa kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu na kumkaribisha rasmi Ikulu rais mteule wa Tanzania, Dk John Magufuli.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAMKARIBISHA MWAKILISHI MKAZI MPYA WA JICA NCHINI

 Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa JICA nchini aliyemaliza muda wake Bw. Tomonari Shinya (kushoto) na Mwakilishi Mkazi Mwandamizi mpya wa JICA nchini Bw. Takizawa Koichi (kulia) wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu  Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (hayupo pichani) wakati wa hafla fupi ya kumuaga  Bw. Tomonari Shinya iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi mapema leo . Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kushoto) akizungumza na Mwakilishi Mkazi Mwandamizi mpya wa JICA nchini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani