Azam yamkaribisha Magufuli rasmi
Azam imefanikiwa kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu na kumkaribisha rasmi Ikulu rais mteule wa Tanzania, Dk John Magufuli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Azam FC yamkaribisha Singano
BAADA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) nchini kumuweka huru mchezaji Ramadhan Singano, uongozi wa klabu ya Azam umesema uko tayari kumsajili mchezaji huyo kama atapenda kuchezea timu hiyo.
Azam imekuwa ikihusishwa na kumsajili mchezaji huyo hata kabla ya kutamalizika kwa suala lake hilo lililokuwa linahusu utata wa kimkataba na klabu yake ya Simba.
Mara nyingi uongozi wa Azam ulikuwa ukikana taarifa za kufanya mazungumzo na mchezaji huyo na kusema kuwa hauwezi kumsajili...
11 years ago
GPLAZAM TV YAZINDULIWA RASMI
9 years ago
Michuzi11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
SAU yamkaribisha IGP Mwema
CHAMA cha Sauti ya Umma (SAU), kimemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini mstaafu, IGP Said Mwema kujiunga na chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ...
11 years ago
GPLAzam yamtangaza rasmi Kapombe
10 years ago
GPLCHARLES HILLARY ATUA RASMI AZAM TV
11 years ago
GPLKapombe rasmi Azam, apewa jezi namba 33
10 years ago
Habarileo06 Mar
Kikwete mgeni rasmi uzinduzi wa studio ya Azam Tv
RAIS Jakaya Kikwete leo atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa studio ya kisasa ya Azam Tv itakayojulikana kama Uhai Production iliyopo eneo la Tabata kando ya barabara ya Mandela.
10 years ago
GPLKIKWETE AZINDUA RASMI KITUO CHA AZAM TV