AZAM TV YAZINDULIWA RASMI
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Yusuf Bakhresa (kushoto) akifungua rasmi Azam Tv mbele ya Mtendaji Mkuu wa Azam Media Rhys Torrington. Mmoja wa watoa huduma kwa wateja akiwa tayari kuwahudumia wateja.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAISHA BASEMENT YAZINDULIWA RASMI
9 years ago
MichuziDAWASCO SACCOS YAZINDULIWA RASMI
Akiongea na wafanyakazi katika uzinduzi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco Mhandisi Cyprian Luhemeja amewahimiza wafanyakazi kuitumia Saccos hiyo kujikomboa kiuchumi na kuondokana na utozwaji mkubwa wa riba kutoka kwa baadhi ya taasisi za fedha, hali inayowaumiza...
11 years ago
GPLGLOBAL TV ONLINE YAZINDULIWA RASMI LEO
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Maabara ya mafunzo itembeayo yazinduliwa rasmi
Mganga Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa jamiii, Dk. Magreth Mhando akisoma hotuba ya uzinduzi wa maabara itembeayo kwa ajili ya mafunzo ya upasuaji. Kulia ni Naibu Balozi wa Ireland nchini, Maire Matthews na kushoto ni Mkurugenzi wa ECSA anayeshughulikia Afya ya jamii Prof Yoswa Dambisya.
Na Mwandishi wetu
Mganga Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Magreth Mhando mwishoni mwa juma alizindua maabara ya upasuaji ya mafunzo inayotembea iliyotolewa kwa chuo kitembeacho cha COSECSA...
10 years ago
MichuziFILAMU Going Bongo yazinduliwa rasmi nchini
FILAMU Going Bongo ilizinduliwa rasmi juzi na kuhudhuriwa na mamia ya wadau wa filamu nchini, katika hafla iliyofanyika eneo la Bahari Zoo, jijini Dar es salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuizindua filamu hiyo, Mwigizaji Mkuu wa Going Bongo Ernest Rwandalla alisema kuwa filamu hiyo imeshaanza kuoneshwa kimataifa zaidi kwa kuwa watu mbalimbali duniani wameanza kuifuatilia kwa njia ya I tune.
Alisema kuwa ni filamu ambayo inahusiana na suala la afya...
10 years ago
CloudsFM05 Jan
CLOUDS TV INTERNATIONAL YAZINDULIWA RASMI DUBAI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-D_Gs3A8PkPM/XlzZmdWk5QI/AAAAAAALgXY/OC3bHrGFb-g6nj89q_VER-Ybz-g5IjCwwCLcBGAsYHQ/s72-c/926fc2f0-c183-4f9c-9547-c876d485739a.jpg)
Bodi ya Shule ya Mrisho Gambo Yazinduliwa Rasmi.
Katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega amezindua bodi ya shule ya sekondari ya Mrisho Gambo iliyopo katika kata ya Olasiti Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo kwa niaba ya mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,Kwitega aliitaka bodi hiyo kuhakikisha kuwa inasimamia ubora wa elimu na kuhakikisha inafanya vizuri na kuwa ya mfano.
Pia alisema kuwa ujenzi wa shule hiyo ulitokana na kuongezeka kwa ufaulu katika mkoa wa Arusha hivyo kulazimika kutafuta namna ya ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QKlj2xvsZBo/VRBWYjVuWPI/AAAAAAAHMkw/4BuydWd4pYc/s72-c/DSC_0050.jpg)
KAMPUNI YA ASK INDUS YAZINDULIWA RASMI NCHINI TANZANIA
Kampuni ya Ask Indus (T) Limited yenye lengo la kuunganisha kati ya Tanzania na India katika nyanja ya Afya,elimu pamoja na masuala ya biashara hususan katika sekta binafsi imezinduliwa rasmi leo,nchini Tanzania.
Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam,Balozi wa India nchini,Mhe. Debnath Shaw amesema Watanzania watafaidika na Kampuni hiyo kwa kuwa itatoa msaada zaidi katika matibabu bora,Elimu bora kwa wanafunzi pamoja na huduma bora...
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Paisha yazinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam
Mgeni rasmi ambae pia ni rais wa Makampuni ya Convivium Africa Investment, Ndg Alfonso ippolito akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa platform mpya ya matangazo iliyozinduliwa hapo jana katika hoteli ya Serena.Paisha ni platform ya matangazo ambayo inapatikana kupitia simu za mkononi yaani smartphone na kupitia tovuti ambapo watumiaji wa simu za smartphone wanaweza kuipakua kupitia google play and playstore bure kabisa.
Meneja bidhaa wa Paisha, Godfrey Fataki akizungumzia jinsi...