Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAISHA BASEMENT YAZINDULIWA RASMI

Kutoka kushoto ni Meneja burudani wa New Maisha Basement, Geofrey Gilla, Meneja Mipango, Samwel Kariuki, HK, Meneja wa New Maisha Basement, Allan Ngugi na Ofisa Uhusiano wa New Maisha Basement, Omary Sharifu kwenye mkutano huo. HK akitoa maelekezo juu ya ubora wa klabu hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA IDD MOSI KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB

 Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya 'Maisha Basement' zamani New Club Maisha pamoja na Maisha Club za Tanzania, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Miasha Club za Tanzania, Allan Ngugi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

DC Makonda Idd Mosi kuzindua Club mpya ya Maisha Basement zamani New Maisha Club

Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya ‘Maisha Basement’ zamani New Club Maisha, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Club hiyo, Allan Ngugi na Meneja Uendeshaji wa Sam Kaliuki.

  Mratibu...

 

10 years ago

Michuzi

MAKONDA KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB

 Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya 'Maisha Basement' zamani New Club Maisha, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Club hiyo, Allan Ngugi na Meneja Uendeshaji wa Sam Kaliuki.  Mratibu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI JANA MAISHA BASEMENT EID EL FITRI, DAR

Meneja Mkuu wa Burudani wa Maisha Basement, Hemedi Kavu (HK, wa pili kulia)  akiwa katika pozi na warembo hao.
Warembo wa New Maisha Basement (katikati) wakiwa kwenye picha ya pozi na wamasai
Warembo wakipiga picha za…

 

10 years ago

Michuzi

KIWANJA KIPYA CHA MAISHA CLUB BASEMENT CHAANZA KUPIGA MZIGO USIKU HUU

 Kiwanja  kipya cha Maraha kifahamikacho kwa jila la Maisha Club Basement kimeanza kupiga kazi usiku huu kwenye jengo jipya la LAPF, Makumbusho jijini Dar es salaam. Kiwanja hiki ambacho ni cha kisasa kabisa ni mbadala wa Maisha Club iliyokuwepo Masaki, hivyo sasa kila kitu kinapatikana hapa. Ndani ya Kiwanja hicho maalum kwa kuruka majoka kunaonekana namna hii.

 

11 years ago

GPL

AZAM TV YAZINDULIWA RASMI

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Yusuf Bakhresa (kushoto) akifungua rasmi Azam Tv  mbele ya Mtendaji Mkuu wa Azam Media Rhys Torrington.
Mmoja wa watoa huduma kwa wateja akiwa tayari kuwahudumia wateja.…

 

11 years ago

GPL

MAMA SHUJAA WA CHAKULA WAINGIA RASMI KIJIJI CHA MAISHA PLUS, PROFESA ANNA TIBAIJUKA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO

Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Nyumba Ardhi na  maendeleo ya Makazi wa pili kutoka kulia pamoja na Babu wa Kijiji cha Maisha Plus akiwasalimia akina mama Shujaa wa Chakula ambao wameingia Rasmi Kijiji cha Maisha Plus Jana usiku. Akina Mama Shujaa wa Chakula Wakiwa wanamuimbia wimbo maalum Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Nyumba Ardhi na  maendeleo ya Makazi mara baada ya kuwasili Kijijini… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani