KIWANJA KIPYA CHA MAISHA CLUB BASEMENT CHAANZA KUPIGA MZIGO USIKU HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lz5pOsKf1Os/VagYyTsfIeI/AAAAAAAHqKk/eUbW_9ZjZHg/s72-c/IMG_20150716_204123.jpg)
Kiwanja kipya cha Maraha kifahamikacho kwa jila la Maisha Club Basement kimeanza kupiga kazi usiku huu kwenye jengo jipya la LAPF, Makumbusho jijini Dar es salaam. Kiwanja hiki ambacho ni cha kisasa kabisa ni mbadala wa Maisha Club iliyokuwepo Masaki, hivyo sasa kila kitu kinapatikana hapa.
Ndani ya Kiwanja hicho maalum kwa kuruka majoka kunaonekana namna hii.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA IDD MOSI KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
DC Makonda Idd Mosi kuzindua Club mpya ya Maisha Basement zamani New Maisha Club
Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya ‘Maisha Basement’ zamani New Club Maisha, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Club hiyo, Allan Ngugi na Meneja Uendeshaji wa Sam Kaliuki.
Mratibu...
10 years ago
MichuziMAKONDA KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB
10 years ago
GPL10 years ago
GPLSKYLIGHT BAND KUWASHA MOTO LEO KIWANJA KIPYA CHA LUKAS PUB
10 years ago
MichuziMKUU WA MAJESHI TANZANIA JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE AFUNGUA KIWANJA KIPYA CHA MICHEZO
10 years ago
Michuzi21 Dec
KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA UEFA GOO NIGHT CLUB KUZINDULIWA MKESHA WA KRISMAS
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/38.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 May
Skylight Band ndio habari ya mujini kwa sasa, Karibuni kiwanja kipya cha Lukas Pub tusebeneke leo
KUNAKO Nigeria Flavour….. Sam Mapenzi akitoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake waliokuwa wakimpa support ya nguvu kwenye...