Bodi ya Shule ya Mrisho Gambo Yazinduliwa Rasmi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-D_Gs3A8PkPM/XlzZmdWk5QI/AAAAAAALgXY/OC3bHrGFb-g6nj89q_VER-Ybz-g5IjCwwCLcBGAsYHQ/s72-c/926fc2f0-c183-4f9c-9547-c876d485739a.jpg)
Na Ashura Mohamed-Arusha
Katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega amezindua bodi ya shule ya sekondari ya Mrisho Gambo iliyopo katika kata ya Olasiti Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo kwa niaba ya mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,Kwitega aliitaka bodi hiyo kuhakikisha kuwa inasimamia ubora wa elimu na kuhakikisha inafanya vizuri na kuwa ya mfano.
Pia alisema kuwa ujenzi wa shule hiyo ulitokana na kuongezeka kwa ufaulu katika mkoa wa Arusha hivyo kulazimika kutafuta namna ya ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMRISHO GAMBO ATOA ANYO KWA WAONGOZA UTALII JIJINI ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
10 years ago
Vijimambo28 Sep
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s72-c/K%2B1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA ,MRISHO GAMBO WILAYANI NGORONGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s640/K%2B1.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) 39 KJ -Kiteule cha Loliondo,kulia ni Mkuu wa Brigedi ya 303,Brigedia Omary Majani.
![](https://1.bp.blogspot.com/-pLWpqnzndtY/XmzEyXrrcTI/AAAAAAAAMvU/xSmslBEVXHMlqnLHQHt3vHI1SR6eiexWwCLcBGAsYHQ/s640/K%2B2.jpg)
Kamishna wa uhifadhi wa Tanapa,Dk Allan Kijazi akipanda mti wa kumbukumbu baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Loliondo
![](https://1.bp.blogspot.com/-juCzUaZYD50/XmzE6VOhgXI/AAAAAAAAMvc/qPa1necpk8ExYVWKYNPV-NCe2xhmBElNgCLcBGAsYHQ/s640/K%2B3.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo(kushoto) akimsikiliza Kapteni Fadhil Mbulu ambaye ni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A_mq1MtAvZo/U-RW6_gCOiI/AAAAAAAAP6M/MOaXzoTnoPo/s72-c/2.jpg)
BODI MPYA YA BARAZA LA HABARI YAZINDULIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-A_mq1MtAvZo/U-RW6_gCOiI/AAAAAAAAP6M/MOaXzoTnoPo/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mJ4zTokFqz0/U-RXOKyaEHI/AAAAAAAAP6c/Pfx5dPT7A6A/s1600/15.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dif95k_TVEE/U-RXUxyEa1I/AAAAAAAAP6k/z35Rpwp7wH0/s1600/17.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Bodi ya wadhamini ya Jumuiya ya Wastaafu Pemba yazinduliwa
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiizindua rasmi Bodi ya wadhamini ya Jumuiya ya Wafanyakazi Wastaafu Pemba ukumbi wa Tasaf uliopo Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Chake chake Pemba.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).
Wastaafu wa Taasisi za Umma za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na zile za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wanapaswa kushirikiana kwa karibu katika kutumia ujuzi na Taaluma zao za muda mrefu ndani ya Jumuiya wanaazozianzisha baada...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Untitled1.jpg)
BODI YA WADHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI YAZINDULIWA
11 years ago
MichuziBODI MPYA YA KITUO CHA UWEKEZAJI NCHINI (TIC) YAZINDULIWA JIJINI DAR
11 years ago
GPLAZAM TV YAZINDULIWA RASMI
9 years ago
MichuziDAWASCO SACCOS YAZINDULIWA RASMI
Akiongea na wafanyakazi katika uzinduzi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco Mhandisi Cyprian Luhemeja amewahimiza wafanyakazi kuitumia Saccos hiyo kujikomboa kiuchumi na kuondokana na utozwaji mkubwa wa riba kutoka kwa baadhi ya taasisi za fedha, hali inayowaumiza...