Bodi ya wadhamini ya Jumuiya ya Wastaafu Pemba yazinduliwa
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiizindua rasmi Bodi ya wadhamini ya Jumuiya ya Wafanyakazi Wastaafu Pemba ukumbi wa Tasaf uliopo Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Chake chake Pemba.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).
Wastaafu wa Taasisi za Umma za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na zile za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wanapaswa kushirikiana kwa karibu katika kutumia ujuzi na Taaluma zao za muda mrefu ndani ya Jumuiya wanaazozianzisha baada...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Untitled1.jpg)
BODI YA WADHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI YAZINDULIWA
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Jumuiya ya Qamer ya Canada pamoja na Jumuiya ya Taqwa Tanzania yatoa misaada Pemba
Vitanda mbali mbali vya Hospitali vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, kwa ajili ya Hospitali Kisiwani Pemba kabla ya kukabidhiwa kwa uongozi wa Wizara ya Afya Pemba.(Picha zote na Hanifa Salum, PEMBA.)
Maboksi mbali mbali yenye madawa kwa ajili ya Hospitali pamoja na mikoba ya Watoto mayatima, vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, mikoba kwa aajili ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nsx_peV4Ejc/U6auZJCAF2I/AAAAAAACkB4/YfYm37QJgeE/s72-c/uzinduzi.jpg)
Wastaafu Loan Yazinduliwa jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-nsx_peV4Ejc/U6auZJCAF2I/AAAAAAACkB4/YfYm37QJgeE/s1600/uzinduzi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XOcP2TlAvxg/U6auVhLRppI/AAAAAAACkBc/4V5uMIcTuzI/s1600/Philemon+Luhanjo+(1).jpg)
9 years ago
VijimamboHafla ya kuwaaga wafanyakazi wastaafu wa ZSTC, Chakechake, Pemba
10 years ago
VijimamboBALOZI AMINA SAUM ALI ATUA PEMBA KUTAFUTA WADHAMINI
10 years ago
Michuzi05 Jan
REDIO YA JAMII MKOANI YAZINDULIWA KUSINI PEMBA
![DSC_0011](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC_0011.jpg)
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (mwenye koti la suti) akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Pemba kwa ajili kuhuduria sherehe za uzinduzi wa Redio Jamii Mkoani jimbo la Mkanyageni, Kusini Pemba na kupokelewa na Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph (kulia) aliyeambatana na Mshauri na Mkufunzi kutoka...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nvQ3gcSvOTo/VeqNxya1ztI/AAAAAAAH2dA/vU3_rz7W0L8/s72-c/New%2BPicture.png)
UZINDUZI WA BODI YA WADHAMINI YA MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nvQ3gcSvOTo/VeqNxya1ztI/AAAAAAAH2dA/vU3_rz7W0L8/s320/New%2BPicture.png)
WCF ni Taasisi ya Serikali chini ya Wizara ya Kazi na Ajira iliyoundwa kwa Mujibu wa Kifungu cha 5 cha Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi Na. 20 ya mwaka 2008 ili kushughulikia masuala ya fidia kwa Wafanyakazi waliopo katika Sekta ya Umma na Binafsi Tanzania Bara ambao wataumia, kuugua au kufariki dunia wakiwa katika utekelezaji wa majukumu ya Mwajiri.
Mfuko wa Fidia kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A_mq1MtAvZo/U-RW6_gCOiI/AAAAAAAAP6M/MOaXzoTnoPo/s72-c/2.jpg)
BODI MPYA YA BARAZA LA HABARI YAZINDULIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-A_mq1MtAvZo/U-RW6_gCOiI/AAAAAAAAP6M/MOaXzoTnoPo/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mJ4zTokFqz0/U-RXOKyaEHI/AAAAAAAAP6c/Pfx5dPT7A6A/s1600/15.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dif95k_TVEE/U-RXUxyEa1I/AAAAAAAAP6k/z35Rpwp7wH0/s1600/17.jpg)