Wastaafu Loan Yazinduliwa jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-nsx_peV4Ejc/U6auZJCAF2I/AAAAAAACkB4/YfYm37QJgeE/s72-c/uzinduzi.jpg)
Katibu Mkuu Kionmgozi (Mstaafu), Philemon Luhanjo (Wapili kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayigu(Wapili kulia), Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, (TPB), Sabasaba Moshingi), Wakwanza kulia) na Mstaafu Eunice Temu, wakiwa wamenyanyua juu mikono kuashiria uzinduzi wa mpango wa mfuko huo kuwakopesha wastaafu amabao ni wanachama wake kupitia benki ya Posta "Wastaafu Loan",. Hafla ya uzinduzi huo ulifantyika jijini Dar es Salaam jana.
Katibu Mkuu Kiongozi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Bodi ya wadhamini ya Jumuiya ya Wastaafu Pemba yazinduliwa
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiizindua rasmi Bodi ya wadhamini ya Jumuiya ya Wafanyakazi Wastaafu Pemba ukumbi wa Tasaf uliopo Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Chake chake Pemba.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).
Wastaafu wa Taasisi za Umma za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na zile za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wanapaswa kushirikiana kwa karibu katika kutumia ujuzi na Taaluma zao za muda mrefu ndani ya Jumuiya wanaazozianzisha baada...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Makatibu wakuu wastaafu katika wizara mbalimbali waagwa rasmi Jijini Dar
Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Seth Kamuhanda aliyestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-asfai_xbig8/VQw8yi_MFtI/AAAAAAAHLrc/tYNadzLI4Ac/s72-c/DSC_0289.jpg)
Doris Mollel Foundation yazinduliwa jijini Dar
Hayo ameyasema, Naibu Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Mohamed Thabit Kombo wakati wa kutambulisha Mfuko wa Doris Mollel ambao utajihusisha katika kusaidia upatikanaji wa vitendea kazi vya hospitali kwa watoto wanaozaliwa njiti iliyofanyika katika ukumbi wa Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.amesema atatoa...
9 years ago
MichuziKAMPUNI MPYA YA SIMU YAZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-6IYbFZA1nnM/ViB28AD6IFI/AAAAAAAIAMc/GoFzs7YDYeY/s640/02.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Paisha yazinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam
Mgeni rasmi ambae pia ni rais wa Makampuni ya Convivium Africa Investment, Ndg Alfonso ippolito akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa platform mpya ya matangazo iliyozinduliwa hapo jana katika hoteli ya Serena.Paisha ni platform ya matangazo ambayo inapatikana kupitia simu za mkononi yaani smartphone na kupitia tovuti ambapo watumiaji wa simu za smartphone wanaweza kuipakua kupitia google play and playstore bure kabisa.
Meneja bidhaa wa Paisha, Godfrey Fataki akizungumzia jinsi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5XpFVZ3nMGE/UyAvKxHfX8I/AAAAAAAFTBs/a_I3MsmrgXU/s72-c/MMG28649.jpg)
TV 1 Tanzania yazinduliwa rami leo jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-5XpFVZ3nMGE/UyAvKxHfX8I/AAAAAAAFTBs/a_I3MsmrgXU/s1600/MMG28649.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-20x4hBsTL2w/UyAv9hTsFUI/AAAAAAAFTC0/1cuNLk3qo24/s1600/MMG28728.jpg)
9 years ago
GPLMAABARA YA KISASA YA TFDA YAZINDULIWA JIJINI DAR
11 years ago
GPLKAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI YAZINDULIWA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMABANGO YA KUELIMISHA UKIMWI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR