Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni wa WHUSM Profesa Hermas Mwansoko aagwa rasmi
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Katibu Mkuu wa WHUS, Prf. Elisante Ole Gabriel katika picha tukio la kumuaga Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vC3Vd0R7tJk/VnFOD99eMjI/AAAAAAAIMwo/RZszMe-fKMk/s72-c/UT0.jpg)
Profesa Mwansoko awaaga watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni
![](http://2.bp.blogspot.com/-vC3Vd0R7tJk/VnFOD99eMjI/AAAAAAAIMwo/RZszMe-fKMk/s640/UT0.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FIAbf-1-3fk/VnFOIrl6xSI/AAAAAAAIMxI/M9uPfyy2FW0/s640/UT1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MEyie7rKJeI/VnFOEab7jlI/AAAAAAAIMww/kC7hynY6skk/s640/UT2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Mkurugenzi mkuu mstaafu wa NHIF Bw. Emmanuel Humba aagwa rasmi
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua mchango wake akiwa mwanzilishi wa mfuko huo wakati wa hafla ya kuwaaga viongozi na wafanyakazi wastaafu iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee mwishoni mwa wiki , Mzee Emannuel Humba aliwaasa wafanyakazi wa mfuko huo kushikamana na kufanya kazi kwa kujituma ili kuhakikisha mfuko huo unafikia malengo, Katika hafla hiyo Emanuel Humba pia...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/237.jpg)
MKURUGENZI MKUU MSTAAFU WA NHIF BW. EMMANUEL HUMBA AAGWA RASMI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8m0RdiZ9Sjw/VnpSl3yWbzI/AAAAAAAIOD0/m59oYRlUOYg/s72-c/pics%2B1.jpg)
Profesa Mwansoko aandaa Mhadhara wa ukuzaji wa Kiswahili
![](http://2.bp.blogspot.com/-8m0RdiZ9Sjw/VnpSl3yWbzI/AAAAAAAIOD0/m59oYRlUOYg/s640/pics%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dup8PLNSlaU/VnpSldtcPvI/AAAAAAAIODw/p4VzKuLJKzw/s640/pics%2B2.jpg)
11 years ago
Habarileo16 Feb
IGP wa zamani aagwa rasmi
MKUU wa Jeshi la Polisi mstaafu (IGP), Said Mwema ameagwa rasmi jana jijini Dar es Salaam, huku akiwataka wananchi kumpa ushirikiano Mkuu mpya wa Polisi, Ernest Mangu katika kukabiliana na uhalifu mpya.
5 years ago
Bongo514 Feb
Marehemu Mh. Elly Macha aagwa rasmi
Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa pamoja na wabunge mbalimbali wameshiriki kuuaga mwili wa aliyekua mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Dkt Elly Macha, aliyefariki nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu.
Mwili huo umewasili alfajiri leo, katika uwanja wa Mwalimu Nyerere ambapo mapokezi yaliongozwa na Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson na kusafirishwa tena mpaka Dodoma ambapo viongozi wa bunge wamepata fursa ya kuuaga Mheshimiwa Macha kwenye viwanja...
11 years ago
GPLIGP MWEMA AAGWA RASMI LEO
10 years ago
MichuziMstaafu CAG kutuzwa; Aagwa rasmi na Ikulu