Profesa Mwansoko aandaa Mhadhara wa ukuzaji wa Kiswahili
![](http://2.bp.blogspot.com/-8m0RdiZ9Sjw/VnpSl3yWbzI/AAAAAAAIOD0/m59oYRlUOYg/s72-c/pics%2B1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni mchango wa Mkurugenzi wa Idara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Ukuzaji wa Lugha ya Kiswahili
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vC3Vd0R7tJk/VnFOD99eMjI/AAAAAAAIMwo/RZszMe-fKMk/s72-c/UT0.jpg)
Profesa Mwansoko awaaga watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni
![](http://2.bp.blogspot.com/-vC3Vd0R7tJk/VnFOD99eMjI/AAAAAAAIMwo/RZszMe-fKMk/s640/UT0.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FIAbf-1-3fk/VnFOIrl6xSI/AAAAAAAIMxI/M9uPfyy2FW0/s640/UT1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MEyie7rKJeI/VnFOEab7jlI/AAAAAAAIMww/kC7hynY6skk/s640/UT2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni wa WHUSM Profesa Hermas Mwansoko aagwa rasmi
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
10 years ago
VijimamboMkutano na Viongozi wa Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NwD6p9-fkyM/VMg3oD1NbEI/AAAAAAAAH1A/RCdzK9vDd3A/s72-c/logochaukidu1.png)
Mkutano Mkuu wa CHAUKIDU na Tamasha la ukuzaji Kiswahili kufanyika Washington DC
![](http://2.bp.blogspot.com/-NwD6p9-fkyM/VMg3oD1NbEI/AAAAAAAAH1A/RCdzK9vDd3A/s1600/logochaukidu1.png)
Hayo yatafanyika hapa Washington DC.
Septemba mwaka jana nilipata fursa ya kuhudhuria mkutano wa awali uliojadili mikakati ya mkutano na tamasha lijalo.
Baada ya hapo nilipata fursa kuzungumza na viongozi wa CHAUKIDU
Dr Leornard Muaka. Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chaudiku. Na ni mwalimu wa lugha katika Chuo Kikuu cha Wiston Salem jimbo...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Katibu Mkuu wa WHUS, Prf. Elisante Ole Gabriel katika picha tukio la kumuaga Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Sumaye atoa mhadhara wa uchumi Marekani
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye ametoa mhadhara katika Chuo Kikuu cha Elizabeth City, Marekani na kueleza kuwa uchumi wa Tanzania unakua kwa wastani wa asilimia 7 kwa miaka 13 tangu mwaka 2000.
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Profesa Bagadanshwa: Profesa aliyeshinda vikwazo vya kuwa mlemavu wa kutoona