Profesa Mwansoko awaaga watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni
![](http://2.bp.blogspot.com/-vC3Vd0R7tJk/VnFOD99eMjI/AAAAAAAIMwo/RZszMe-fKMk/s72-c/UT0.jpg)
Mkurugenzi wa maendeleo ya Utamaduni Profesa. Hermas Mwansoko akizungumza na watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni wakati akiwaaga rasmi jana ofisini kwake. Mkurugenzi huyo anastaafu rasmi kuanzia tarehe 25 Desemba 2015.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Utamaduni sehemu ya Sanaa Bibi. Leaha Kihimbi akielezea jambo wakati wa hafla ya kumuaga Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni anayemaliza muda wake Profesa Hermas Mwansoko (kulia) jana jijini Dar es Salaam.
Afisa Utamaduni wa kutoka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni wa WHUSM Profesa Hermas Mwansoko aagwa rasmi
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Katibu Mkuu wa WHUS, Prf. Elisante Ole Gabriel katika picha tukio la kumuaga Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8m0RdiZ9Sjw/VnpSl3yWbzI/AAAAAAAIOD0/m59oYRlUOYg/s72-c/pics%2B1.jpg)
Profesa Mwansoko aandaa Mhadhara wa ukuzaji wa Kiswahili
![](http://2.bp.blogspot.com/-8m0RdiZ9Sjw/VnpSl3yWbzI/AAAAAAAIOD0/m59oYRlUOYg/s640/pics%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dup8PLNSlaU/VnpSldtcPvI/AAAAAAAIODw/p4VzKuLJKzw/s640/pics%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s72-c/MMG_2917.jpg)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s640/MMG_2917.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PeMavfyeBsY/Vm6aRt_5nmI/AAAAAAAIMRY/8aipDHh_aiI/s640/MMG_2894.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Jerry Silaa awaaga watumishi wa Manispaa ya Ilala wanaoenda kuongeza ujuzi Korea kusini
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk Agatha Shinyala na Dk Mary Machemba wa Amana Hospitali. Nyuma ya Meya ni Afisa kutoka...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9_0drM6ywY/VfdK68ud9SI/AAAAAAAH41g/VyyX1mGN-TM/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
JK azindua miradi ya Maendeleo mkoani kigoma, awaaga wananchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-h9_0drM6ywY/VfdK68ud9SI/AAAAAAAH41g/VyyX1mGN-TM/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tOFNvFruDW0/VP6hqYBYOLI/AAAAAAAHJQY/27Q6Bhsk1IU/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Meya wa Ilala awaaga watumishi sita wa afya wa Manispaa hiyo wanaoenda kuongeza ujuzi Korea kusini
![](http://1.bp.blogspot.com/-tOFNvFruDW0/VP6hqYBYOLI/AAAAAAAHJQY/27Q6Bhsk1IU/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
9 years ago
VijimamboRais Kikwete azindua miradi ya Maendeleo kigoma awaaga wananchi
5 years ago
MichuziPROF. KABUDI ATEMBELEA IDARA NA VITENGO WIZARANI AZUNGUMZA NA WATUMISHI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (wa kwanza kulia) akizungumza na watumishi wa Idara ya Ulaya na Amerika wakati alipowatembelea na kujadililiana nao masuala mbalimbali ya utendaji kazi wa Idara hiyo kwenye ofisi za Wizara zilizopo Chuo Kikuu cha Dodoma, tarehe 31 Machi 2020
Mhe. Waziri Prof. Kabudi akimsikiliza mmoja wa watumishi wa Idara ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakitoa ufafanuzi kuhusiana na...