Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meya wa Ilala awaaga watumishi sita wa afya wa Manispaa hiyo wanaoenda kuongeza ujuzi Korea kusini

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk Agatha Shinyala na Dk Mary Machemba wa Amana Hospitali. Nyuma ya Meya ni Afisa kutoka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk  Agatha Shinyala na Dk...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jerry Silaa awaaga watumishi wa Manispaa ya Ilala wanaoenda kuongeza ujuzi Korea kusini

Photo 1

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk  Agatha Shinyala na Dk Mary Machemba wa Amana Hospitali. Nyuma ya Meya ni Afisa kutoka...

 

11 years ago

GPL

MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, ambaye pia ni Diwani wa kata ya Gongo la Mboto Jerry Silaa akiwasili katika ofisi za Global Publishers. Anayempokea ni Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Uwazi, Elvan Stambuli. Jerry Silaa akilakiwa na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (kushoto).…

 

5 years ago

Michuzi

MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA ILALA APIGA JEKI SHULE YA SEKONDARI YA VINGUNGUTI


MSTAHIKI Meya Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto amefanya Ziara yake ya kikazi katika shule ya Sekondari Vingunguti, katika Ziara hiyo Mstahiki Meya aliambatana na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Vingunguti pamoja na Wajumbe wa Mashina.
Lengo la ziara hiyo ni  kukagua Ujenzi wa Madarasa Manne yanajengwa katika shule hiyo. Mstahiki aliwapongeza Walimu wa Shule hiyo ya Sekondari Vingunguti kwa usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa hayo manne.
Uongozi wa Shule hiyo ulimpongeza Mstahiki...

 

9 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA MANISPAA YA ILALA WAFUNDWA JUU YA MAAMBUKIZI YA VVU,NA UKIMWI

 Mwanasheria wa Manispaa ya Ilala, Pamela Mgarula akizungumza na waandishi habari hawapo pichani juu ya semina ya kuwezesha kutoa elimu ya  kuwakumbusha wafanyakazi kutambua umhimu kujikinga na VVU na Ukimwi iliyofanyika leo katika ukumbi wa Arnatoglo jijini Dar es Salaam. Daktari  Kafura Williamu wa Kitengo cha Magonjwa yasiyo ya kuambukiza  Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, akizungumza na waandishi habari  juu ya semina ya kuwezesha kutoa elimu ya  kuwakumbusha wafanyakazi kutambua umhimu...

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)

Hanscana na campos-5

Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.

Hanscana na campos-5
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice

Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.

Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...

 

5 years ago

Michuzi

MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA ILALA AKABIDHI MABATI 20 KATIKA OFISI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KATA YA PUGU STATION

MSTAHIKI Meya Manispaa ya Ilala amefanya ziara katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi ya kihistoria Pugu Station. Pugu Station ni miongoni mwa Kata ilitoka katika mikono ya Kata ya Pugu, Katika historia kulikuwa na kijiji cha Pugu ambapo hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alifungua Ofisi ya CCM katika Kijiji cha Pugu.
Katika ziara yake hiyo Mstahiki Meya Mhe. Omary Kumbilamoto aliambatana na Katibu Siasa na Unezi Wilaya ya Ilala Cde. Said Side.
Mstahiki Meya Manispaa ya Ilala...

 

9 years ago

Michuzi

MEYA MANISPAA YA KINONDONI ANAYEMALIZA MUDA WAKE YUSUPH MWENDA AZINDUA UZIO WA KISASA SHULE YA MSINGI MIKOCHENI A NA KUWAAGA RASMI WANANCHI WA KATA HIYO

 Meya wa Manispaa ya Kinondoni anayemaliza muda wake, Yusuph Mwenda (wa pili kushoto) akifuatilia kwa makini matukio ya sherehe hizo sambamba na watendaji.  Vijana wa timu za Kata hiyo wakichuana katika bonanza la sherehe hizo.Mwimbaji wa nyimbo za mipasho, Isha Mashauzi akitumbuiza katika bonanza la sherehe za uzinduzi wa uzio wa kisasa wa Shule ya Msingi Mikocheni A, Manispaa ya Kinondoni mwishoni mwa wiki.
(PICHA ZOTE NA MPIGAPICHA WETU)KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Vijimambo

MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SLAA ASIMAMISHA UJENZI WA MAJENGO KWA KUKIUKA MICHORO YA UJENZI

Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa(kushoto) na Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa hiyo Themi Luther(kulia) wakipitia michoro ya usanifu ya majengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na Indragadhi ambapo ujenzi huo haujafuata michoro, Alipotembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali, Katika ukaguzi huo majengo mengi yamekiuka michoro ya ujenzi na amesimamisha ujenzi huo mara moja hapo jana.Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani