WATUMISHI WA MANISPAA YA ILALA WAFUNDWA JUU YA MAAMBUKIZI YA VVU,NA UKIMWI
Mwanasheria wa Manispaa ya Ilala, Pamela Mgarula akizungumza na waandishi habari hawapo pichani juu ya semina ya kuwezesha kutoa elimu ya kuwakumbusha wafanyakazi kutambua umhimu kujikinga na VVU na Ukimwi iliyofanyika leo katika ukumbi wa Arnatoglo jijini Dar es Salaam.
Daktari Kafura Williamu wa Kitengo cha Magonjwa yasiyo ya kuambukiza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, akizungumza na waandishi habari juu ya semina ya kuwezesha kutoa elimu ya kuwakumbusha wafanyakazi kutambua umhimu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTsqM2s7r4rfRubV9rwF-5V77iTRH2Xqi3omvyvUwe88uPlqhIsx33Dqcp3bDRBrW0cZJB2ADuR8eI4vvkrUuKY/Photo1.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Maambukizi VVU vituo vya kulaza magari juu
IMEELEZWA kuwa maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU), kwenye vituo vya kulaza magari ya masafa marefu yako juu kuliko wastani wa kitaifa, mikoa na wilaya husika. Wastani wa juu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JDRu-dVEreo/VOr6os8iPZI/AAAAAAAHFXQ/wH7IV7r8G58/s72-c/DSCF4679.jpg)
Wizara ya afya na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi wazindua rasmi Ripoti ya tafiti ya hali ya Maambukizi ya VVU nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-JDRu-dVEreo/VOr6os8iPZI/AAAAAAAHFXQ/wH7IV7r8G58/s1600/DSCF4679.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS4RnXQPciB9ehwDBopXbe8OMKwRKrXoHRc4ETqsPWAfJgdIztEA17zuxIDhtGyMoMkayPUhlvnMzUEfgNh6Riz9/HIV.png)
RAIS ZUMA KUPITISHA SHERIA YA WATU WENYE VVU KUWEKEWA ALAMA SEHEMU NYETI, ITASAIDIA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA UKIMWI?
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana — Mama Kikwete
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa Sandton International Center uliofanyika mkutano wa wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza muda wake Mama Hinda Derby Itno.(PICHA NA JOHN LUKUWI).
Na Anna Nkinda – Johannesburg, Afrika ya Kusini
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata...
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Jerry Silaa awaaga watumishi wa Manispaa ya Ilala wanaoenda kuongeza ujuzi Korea kusini
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk Agatha Shinyala na Dk Mary Machemba wa Amana Hospitali. Nyuma ya Meya ni Afisa kutoka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_otPAJgKXNY/VX9TGr9-pxI/AAAAAAAHf1M/Y0GVdwXCzVg/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana - Mama Salma Kikwete
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tOFNvFruDW0/VP6hqYBYOLI/AAAAAAAHJQY/27Q6Bhsk1IU/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Meya wa Ilala awaaga watumishi sita wa afya wa Manispaa hiyo wanaoenda kuongeza ujuzi Korea kusini
![](http://1.bp.blogspot.com/-tOFNvFruDW0/VP6hqYBYOLI/AAAAAAAHJQY/27Q6Bhsk1IU/s1600/unnamed%2B(63).jpg)