MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA ILALA AKABIDHI MABATI 20 KATIKA OFISI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KATA YA PUGU STATION
![](https://1.bp.blogspot.com/-96BnUypFpFk/XuJDRTDJRgI/AAAAAAAAHU0/vdfiBE7eWWsuUUewaARS_CR9dhMiCQc5gCLcBGAsYHQ/s72-c/e392f1b3-c11a-4a11-ba1d-a46e3901a3f8.jpg)
MSTAHIKI Meya Manispaa ya Ilala amefanya ziara katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi ya kihistoria Pugu Station. Pugu Station ni miongoni mwa Kata ilitoka katika mikono ya Kata ya Pugu, Katika historia kulikuwa na kijiji cha Pugu ambapo hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alifungua Ofisi ya CCM katika Kijiji cha Pugu.
Katika ziara yake hiyo Mstahiki Meya Mhe. Omary Kumbilamoto aliambatana na Katibu Siasa na Unezi Wilaya ya Ilala Cde. Said Side.
Mstahiki Meya Manispaa ya Ilala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTsqM2s7r4rfRubV9rwF-5V77iTRH2Xqi3omvyvUwe88uPlqhIsx33Dqcp3bDRBrW0cZJB2ADuR8eI4vvkrUuKY/Photo1.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA ILALA APIGA JEKI SHULE YA SEKONDARI YA VINGUNGUTI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YzDPecsRo30/XuBeHPOt5HI/AAAAAAALtRw/5DUrd9-nIWEczzf_gmUdiyq5ykhTAH3eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.51%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Eq33nenT5_U/XuBeGwyUPkI/AAAAAAALtRs/OgiCvpm4l9IhbySEQHe8pyJ4txCfHFXvACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B7.04.52%2BAM.jpeg)
Lengo la ziara hiyo ni kukagua Ujenzi wa Madarasa Manne yanajengwa katika shule hiyo. Mstahiki aliwapongeza Walimu wa Shule hiyo ya Sekondari Vingunguti kwa usimamizi wa Ujenzi wa Madarasa hayo manne.
Uongozi wa Shule hiyo ulimpongeza Mstahiki...
10 years ago
MichuziMSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI AKABIDHI ZAWADI ZA PASAKA KWA YATIMA
Akikabidhi msaada huo Meya Yusuph Mwenda aliwataka watanzania kuwa na moyo wa kusaidia watoto hao hususan katika msimu wa Sikukuu ikiwa ni njia mojawapo ya kuwafariji watoto hao.
“Hakuna anayependa kuona watoto hawa wanaongezeka mitaani, Na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g2i-0dkqSIk/XoMs-2epwNI/AAAAAAAC2JQ/CHn97PvSFh8GM1ucO06UBzANocHstQQDQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MEYA MANISPAA YA IRINGA ALIYENG'OLWA AKABIDHI OFISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g2i-0dkqSIk/XoMs-2epwNI/AAAAAAAC2JQ/CHn97PvSFh8GM1ucO06UBzANocHstQQDQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Kimbe ametoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari waliofika ofisini kwake kutaka kujua kwanini anaendelea na kazi licha ya kuondolewa madarakani siku chache zilizopita.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Hamid Njovu amesema kanuni zinamtaka meya huyo kuondoka ofisini ndani ya siku 30 na hivyo anatakiwa kukabidhi ofisi na gari mara...
11 years ago
GPLMEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Foa8bsaPWrQ/U870Y9XN4xI/AAAAAAAF47Q/KNu3tI2d8Og/s72-c/a1.jpg)
Mstahiki Meya wa Ilala Mhe Jerry Slaa aanda futari kwa wadau mbalimbali
![](http://1.bp.blogspot.com/-Foa8bsaPWrQ/U870Y9XN4xI/AAAAAAAF47Q/KNu3tI2d8Og/s1600/a1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dn-u-fwhu_U/U870ZSSE-jI/AAAAAAAF47U/FtjikgVw4ks/s1600/a12.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Joctej8UB2s/U870aYrNwRI/AAAAAAAF47c/BX-lCqqyndU/s1600/a14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wbSPRTktoB0/U870d_Si6CI/AAAAAAAF47o/j8l6Rf2LKFg/s1600/a15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPuAayWQ5U/U870gkvrPqI/AAAAAAAF47w/bqppbdy4-Ns/s1600/a17.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Mstahiki Meya wa Ilala Jerry Silaa ashusha neema kwa shule ya msingi Kivuleâ€â€Ž
Meza kuu ikiwa imepambwa na viongozi mbalimbali kwaajili ya kupokea msaada wa madawati.
Meya wa manispaa ya Ilala Jerry silaa akabidhi msaada wa madawati mia moja katika shule ya msingi kivule iliyopo jijini dar es salaam ikiwa ni mpango aliouanzisha na kuanza kuutekeleza kupitia (Mayors Ball) katika mpango huo madawati hayo yamekabidhiwa kwa mwalimu mkuu wa shue hiyo pamoja na diwani wa kata ya kivule na afisa elimu wa manispaa ya ilala walikuwepo katika shuguli hiyo ya kupokea msaada...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NgarEMQZ5-c/U54eE176f_I/AAAAAAAFq7U/xQR2x1DZzPg/s72-c/552012_599713570056854_1142806201_n.jpg)
news alert: hackers waiba akaunti ya facebook ya meya wa ilala Mstahiki Jerry Silaa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-NgarEMQZ5-c/U54eE176f_I/AAAAAAAFq7U/xQR2x1DZzPg/s1600/552012_599713570056854_1142806201_n.jpg)
Tafadhali puuzia ujumbe huo kwani utasababisha akaunti yako nayo ku-hackiwa. Tafadhali sambaza ujumbe huu, wakati tunaendelea kujaribu kuiokoa. Nawaomba radhi wote walopatwa na usumbufu huu.
Asanteni sana - Jerry Silaa